sunna...................................
kumbe hilo jina wengi tunamwita hivyo ehh?Huyo mtoa kafara amekuja huko Tayari?
acheni ujinga....
waaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaavyombo vya habari vya nyumbani vimeshatangaza kuwa keshaondoka na sasa yuko njiani. Mkichelewa kila kitu kitacolapse. Shime ndg zetu tumuaibishe fisadi JK
Walioko ndani ya Tanzania wengi ni mazuzu na akili yao bongolala. Hata kudai haki zao za kimsingi wanaogopaJamani hivi watanzania wanaoishi nje ya nchi ndiyo wana machungu makubwa na Tanzania kuliko watanzania walio Tanzania?. Ni yupi hasa (kati ya hawa wawili) anayejua hali halisi ilivyo?. Mtanzania anayeishi nje ya Tanzania anasoma katika mitandao na kusikia hadith, lakini kumbukeni kwamba tuna waandishi wa habari wengi ambao ni makanjanja na neno la kusikia linaweza kuongezwa ama kupunguzwa chumvi.
Ingekuwa vyema sana kama maandamano haya ya kumpinga Jakaya Kikwete yangefanyika ndani ya Tanzania kama kweli watanzania wamemchoka Jakaya. Ndiyo inawezekana kabisa kwamba Polisi wangetumika katika kuzima maandamano hayo ndani ya Tanzania lakini ujumbe ungekuwa umefika kwa wahusika. Tanzania ya leo siyo China kwamba hakuna demokrasia kiasi kwamba watu wanashindwa kufanya maandamano, mbona Chadema kila leo wanafanya maandamano?.