Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
acheni serikari ifanye kazi yake, kama kuna rushwa c vyombo vipo vyenye mamlaka hayo?
ifanye kazi yake ipi maana ni siku nyingi imeshindwa na kama ikishindwa si vibaya ikisaidiwa na wanananchi kwa kuwashinikiza waachie madara