KEDIAY-MANGUSHA
Member
- Jun 26, 2011
- 13
- 2
Maandamano ya wanachadema yaliyokuwa yaanzie eneo la ibinzamata had uwanja wa shy com yamezuiliwa na manjagu huku wa2 wakiwa wameshajipanga tayar kwa maandamano. Dr slaa ndiye mnenaji mkuu,wa2 wamejaa maeneo ya uwanjani tayar kusubir hotuba za ukomboz wa nchi