Pinda lazima awe na hofu kwa sababu hakuachaguliwa na wananchi.Aliachakachua akadai amepita bila kupingwa. Lkn Masha aliwaumbua wale wote waliodai kupita bila kupingwa.
JIHADHARINI. serikali ya CCM ilishawahi mara kadhaa kukandamiza maandamano kwa mtutu wa bunduki, na baada ya kuona mafanikio ya Gadaffi, haitosita kutumia ndege za kivita na vifaru kuwamaliza "wapinzani". Kwa kutaka kuendelea madarakni, wako tayari watawale mafuru ya vichwa kama anavyofanya mshiriki wake mkubwa - Gadaffi.Tuandae freedom square yetu tuwaondoshe madarakani hawa ccm na kikwete waliuochoka kufikiri, hawana dira wala sera za kutuongoza tuseme basi