Ibra Mo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 793
- 101
kwa hili swali lako we ni mwehu kabisa milembe ndo sehemu inayokustahili.ivi chadema wanaona polisi haina akili au?
kwa hili swali lako we ni mwehu kabisa milembe ndo sehemu inayokustahili.ivi chadema wanaona polisi haina akili au?
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Said Mwema ametangaza kusitisha maandamano ya amani ya Chama cha Demokrasia na Maendelieo CHADEMA yaliyokua yaongozwe na FREEMAN MBOWE na DR WILBROAD SLAA kwa kile alichokieleza kua ni taarifa za kiinteligensia kwamba kutakua na uvunjifu wa amani.
KWENU WADAU
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Said Mwema ametangaza kusitisha maandamano ya amani ya Chama cha Demokrasia na Maendelieo CHADEMA yaliyokua yaongozwe na FREEMAN MBOWE na DR WILBROAD SLAA kwa kile alichokieleza kua ni taarifa za kiinteligensia kwamba kutakua na uvunjifu wa amani.
KWENU WADAU
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Said Mwema ametangaza kusitisha maandamano ya amani ya Chama cha Demokrasia na Maendelieo CHADEMA yaliyokua yaongozwe na FREEMAN MBOWE na DR WILBROAD SLAA kwa kile alichokieleza kua ni taarifa za kiinteligensia kwamba kutakua na uvunjifu wa amani.
KWENU WADAU
ivi chadema wanaona polisi haina akili au?
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Said Mwema ametangaza kusitisha maandamano ya amani ya Chama cha Demokrasia na Maendelieo CHADEMA yaliyokua yaongozwe na FREEMAN MBOWE na DR WILBROAD SLAA kwa kile alichokieleza kua ni taarifa za kiinteligensia kwamba kutakua na uvunjifu wa amani.
KWENU WADAU
Tunaandamana na hatutaogopa vitisho vya polisi. Kazi yao ni kulinda amani na siyo kutoa taarifa kwamba amani itavunjwa!! Hii nchi wameigeuza ni bedroom yao, wanaamua wanavyotaka! Sasa kesho hatuachi kuandamana; Mh. Freeman ataanzia Philips, Mh. Slaa ataanzia Mbauda! Wabunge zaidi ya 30 na Madiwani zaidi ya 100 kutoka Manyara, Moshi, Hai, Rombo, Moshi Vijijini, Arusha, Arumeru etc watahudhuria! Hatuwezi kudhulumiwa kwa kutumia mgongo wa uvunjifu wa amani! Hakuna amani itakayovunjika! Labda polisi waivunje wao!
The strategy employed ni ya kijinga, zuia maandamano, chadema watalazimisha, tuwapige mabomu, mkutano wao utaharibika, tutumie media kuonyesha chadema wavunjifu wa amani! Upuuzi mtupu!
Kama kweli wamepata fununu hizo basi IGP yuko sahihi kabisa kusimamisha maandamo kwa interest za nchi yetu kuhakikisha amani yetu inaendelea
Vizuri...