Maandamano ya bodaboda Jumamosi: Madai haya kama ni ya kweli,basi tuna siasa za kishamba sana

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,991
144,326
Dada yetu yule ametumiwa clip yenye form ambayo itatumika kuoredhesha majina ya madereva wa Bodaboda wa wilya ya fulani katika mkoa fulani watakaokuwa tayari kuandamana kumuunga mkono bwana fulani.

Katika maelezo yalimo kwenye hiyo clip iliyotumwa kwa mwanadada huyo maderava hao wamedai kuahidiwa chochote na wao wanasema watashiriki ili kupata chochote.

Hiyo clip inaonekana kutumwa na vijana hao wa bodaboda ambao ndio wanaonekana kujirekodi.

Tusubiri hiyo Jumamosi kuona kama kweli kutakuwa na hayo maandamano ingawa hawasema ni Jumamosi ipi hasa ila huenda ni hii ya kesho.

My take:
Kama hayao madai ni ya kweli,basi wajue tu watu watakuwa wanaandamana kwasababu ya kitu fulani lakini miyoni mwao wako tofauti kabisa na kwakweli hizi zitakuwa siasa za kishamba sana na zilizokosa ustaarabu.

Nilichogundua ni kuwa hawa mabwana wanafanya kampeni ya makusudi ya kisaikolojia kujaribu kuhamasisha watu wamkubali bwana fulani na si vinginevyo(kampeni za kabla ya wakati).
 
Kuwa muwazi ueleweke unaficha nini? Ni wilaya gani, mkoa gani na wanaandamana kwa ajili ya nani? Hili ni jukwaa huru vinginevyo ni stories za kutunga. Dogmatism.
 
Nilikua nasoma na kusikiliza Hii Hotuba ya Martin Luther Jr, nikajikuta natokwa machozi. inaitwa I have been to the Mountain Top

Well, I don't know what will happen now. We've got some difficult days ahead. But it really doesn't matter with me now, because I've been to the mountaintop.

And I don't mind.

Like anybody, I would like to live a long life. Longevity has its place. But I'm not concerned about that now. I just want to do God's will. And He's allowed me to go up to the mountain. And I've looked over. And I've seen the Promised Land. I may not get there with you. But I want you to know tonight, that we, as a people, will get to the promised land!
 
Sinema za ngosha bhana...
Kama watalipwa waende tu, ila ukweli haubadiliki kwamba ni kick za lazima zinatafutwa maana tayari ameshashindwa 90%...
 
Nilicheka sana nilipoona hiyo clip na kumsikia bodaboda kwa mdomo wake akisema "mioyo yao haiko kwenye hilo jambo ila wanaogopa kutekwa na hiyo hela wanaitaka"
Hivi Bashite amefikia kuwalipa watu waonyeshe wanamuunga mkono Rais? Kama watu mpaka walipwe basi ukweli ni kuwa haungwi mkono.
Katika miaka niliyoishi sikupata kuona utawala wa vituko vya kijinga kama huu
 
Nilicheka sana nilipoona hiyo clip na kumsikia bodaboda kwa mdomo wake akisema "mioyo yao haiko kwenye hilo jambo ila wanaogopa kutekwa na hiyo hela wanaitaka"
Hivi Bashite amefikia kuwalipa watu waonyeshe wanamuunga mkono Rais? Kama watu mpaka walipwe basi ukweli ni kuwa haungwi mkono.
Katika miaka niliyoishi sikupata kuona utawala wa vituko vya kijinga kama huu
Alafu inabidi tujiulize hiyo hela ya kuwalipa hawa bodaboda inatoka wapi?
 
Nguvu inayotumika sasa kwenye mambo ya ajabu ya kulazimisha Upendo wa watanzania kwa malaika ni za kijinga DAB anaona hasikiki anakuja na mbinu mpya kila siku
 
Dada yetu yule ametumiwa clip yenye form ambayo itatumika kuoredhesha majina ya madereva wa Bodaboda wa wilya ya fulani katika mkoa fulani watakaokuwa tayari kuandamana kumuunga mkono bwana fulani.

Katika maelezo yalimo kwenye hiyo clip iliyotumwa kwa mwanadada huyo maderava hao wamedai kuahidiwa chochote na wao wanasema watashiriki ili kupata chochote.

Hiyo clip inaonekana kutumwa na vijana hao wa bodaboda ambao ndio wanaonekana kujirekodi.

Tusubiri hiyo Jumamosi kuona kama kweli kutakuwa na hayo maandamano ingawa hawasema ni Jumamosi ipi hasa ila huenda ni hii ya kesho.

My take:
Kama hayao madai ni ya kweli,basi wajue tu watu watakuwa wanaandamana kwasababu ya kitu fulani lakini miyoni mwao wako tofauti kabisa na kwakweli hizi zitakuwa siasa za kishamba sana na zilizokosa ustaarabu.

Nilichogundua ni kuwa hawa mabwana wanafanya kampeni ya makusudi ya kisaikolojia kujaribu kuhamasisha watu wamkubali bwana fulani na si vinginevyo(kampeni za kabla ya wakati).
hueleweki ani
 
well,kama maboda boda wanaombwa kuonyesha upendo kwa raisi,
ikiwezekana kutumia nguvu (pesa),
kosa sio la yule aliyewatuma,
kosa ni kujua aliyewatuma kashajua udhaifu wa mkulu,
hio ndio picha ninayoipata hapa,kuwa mkulu anapenda kusifiwa,
so mkuu wa mkoa kaamua amchezee mwenzie kama mdoli,kwa kuanzisha maandamano ya kumsifu,lol
 
well,kama maboda boda wanaombwa kuonyesha upendo kwa raisi,
ikiwezekana kutumia nguvu (pesa),
kosa sio la yule aliyewatuma,
kosa ni kujua aliyewatuma kashajua udhaifu wa mkulu,
hio ndio picha ninayoipata hapa,kuwa mkulu anapenda kusifiwa,
so mkuu wa mkoa kaamua amchezee mwenzie kama mdoli,kwa kuanzisha maandamano ya kumsifu,lol
Wanasema "manage your boss". Bashite ni kiazi lakini amefanikiwa kumtia sizonje mfukoni kwa kutumia udhaifu wa sizonje.
 
Back
Top Bottom