Ndukidi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,498
- 1,297
Hili lilipaswa kuanza na wananchama wapya wanaojiunga sasa. Lakini kwa wale wa zamani mkataba wao ulipaswa kuachwa jinsi ulivo, au kuwalipa chao then wajiunge upya kwa mkataba huu mpya wa kusubiri mpaka ukaribie kufa ndio wakupe chako
Ni sheria ya kipumbavu haifai period, sio kwa sasa wala kwa baadae wala juzi.