Wazo zuri mkuu...nakuunga mkono sasa kama walio mgodini tunapigwa redundancy halafu leo utuambie hatupati hela zetu kweli hili la kufikisha 60yrs litaleta shida...
kweli kabisa hawajamaa sio kabisa umbumbumbu wao katika kutumia hela zetu wanataka watupe mzigo sisi
Hatufanyi mgomo tunaandamana tu.
Tunaandamana Kudai NSSF NA PPF zetu.
Mlachake sijui hawa walioipitisha hii sheria walifikiria abaout wazee ambao wanasotea mafao yao miaka na miaka kwa kuwa records hazionekani
Na je kama nimeacha kazi kampuni tano na baadhi ya hizo kampuni zishafilisika na kufungwa na naenda kudai mafao yangu baada ya hiyo miaka na kuna records ambazo inabidi nizifuatilie kwa yule mwajiri wangu na ndo hivyo kampuni ishakufa wananisaidiaje au ndo nishapoteza mafao
Hatufanyi mgomo tunaandamana tu.
Tunaandamana Kudai NSSF NA PPF zetu.