Maandamano ya Amani (Godbless)

Kama mpenda amani katika inchi yangu sipendi kuona kinachompata Lema.

Kwa wapenda mageuzi mlioko nyumbani kwanini msiungane maandamano ya amani kupinga kunyimwa dhamana kwa mh- Godbless Lema?

Unataka kushinikiza na kuingilia uhuru wa mahakama? Mahakamani ni nguvu ya sheria sio nguvu ya umma.Usichanganye mambo.
 
Kama mpenda amani katika inchi yangu sipendi kuona kinachompata Lema.

Kwa wapenda mageuzi mlioko nyumbani kwanini msiungane maandamano ya amani kupinga kunyimwa dhamana kwa mh- Godbless Lema?
umesema kwa waliopo nyumbani hebu fanya kurudi uongoze hayo maandamano sio kushawishi wenzio ili hali wewe haupo...
 
Kama mpenda amani katika inchi yangu sipendi kuona kinachompata Lema.

Kwa wapenda mageuzi mlioko nyumbani kwanini msiungane maandamano ya amani kupinga kunyimwa dhamana kwa mh- Godbless Lema?
Huko ni kuingilia Uhuru wa mahakama.Ila km unakereketwa na kifurukutwa sana na hali hiyo basi andamana.
 
Hata mimi naunga mkono maandamano hata Kama polisiccm wataua watu wataua watu watano lakini ujumbe utakuwa umeifikia mahakama za ccm,tumeona Drc wamefanikiwa,Kabila atakaa mwaka mmoja tu bila maandamano angekaa milele,kuna Kama watu 40 wamekufa lkini amekubali shinikizo la umma,hapa tz huyu mtu wa Chato taifa likiendelea kumuogopa hata wake zetu anakaribia kutunyanganya,watakao kufa wafe,ukienda hospitali zetu kila siku watu wanakufa,nenda kwenye ajali watu wanakufa,hakuna haja ya kumwogopa .
 
Yaani unawashawishi watu wafanye maandamano kienyeji tena bila kibali waanze kwanza viongozi wa chama na nyie wanazi wa Lema wengine watafuata kuliko kujitia kihelehele wakuu wenyewe wa chama wamekaa kimya hawaoni umuhimu wa maandamano?
 
Pia hata kauli yako ni ya uchochezi hapo unaposema kwa wapenda mageuzi mlioko nyumbani kwanini msiungane swali langu ni wewe ukiwa wapi hadi ushawishi waungane from no where? Mabadiliko yanaanza na wewe anza wewe kwanza.
 
Kama mpenda amani katika inchi yangu sipendi kuona kinachompata Lema.

Kwa wapenda mageuzi mlioko nyumbani kwanini msiungane maandamano ya amani kupinga kunyimwa dhamana kwa mh- Godbless Lema?

we nae sijui una matatizo ya kusahau sahau. we hukumbuki JPM alipiga marufuku hayo maandamano na viongozi wako wote Lowasa, Mbowe na wengine wote hata huyo Lema mwenyewe wakatii amri.

sasa hizi ndoto zako tena za maandamano umeziota saa ngapi.? au wewe ni mke wa Lema unataka kuwapima upepo UKAWA wana msimamo gani.? Nakushauri tuu, acha ndoto zako hizo za ajabu ajabu.
 
we nae sijui una matatizo ya kusahau sahau. we hukumbuki JPM alipiga marufuku hayo maandamano na viongozi wako wote Lowasa, Mbowe na wengine wote hata huyo Lema mwenyewe wakatii amri.

sasa hizi ndoto zako tena za maandamano umeziota saa ngapi.? au wewe ni mke wa Lema unataka kuwapima upepo UKAWA wana msimamo gani.? Nakushauri tuu, acha ndoto zako hizo za ajabu ajabu.
JPM JPM JPM ni nini hiyo? Ni mtu au kitu gani!! Bulshit tunafuata katiba hatufuati watu wala vitu hapa!! To hell with your slavery thinking.
 
Kama mpenda amani katika inchi yangu sipendi kuona kinachompata Lema.

Kwa wapenda mageuzi mlioko nyumbani kwanini msiungane maandamano ya amani kupinga kunyimwa dhamana kwa mh- Godbless Lema?
Inchi yangu?nani alikuambia tulimchagua ili aote?tulimchagua alete maendeleo,huko aliko yuko salama ataota bila ya kusumbuliwa,akipona ataachiwa,tuandamane mtu kupata tiba?hujui dalili ya kwanza ya ugonjwa wa akili ni kutotofautisha ndoto na ukweli.
 
JPM JPM JPM ni nini hiyo? Ni mtu au kitu gani!! Bulshit tunafuata katiba hatufuati watu wala vitu hapa!! To hell with your slavery thinking.

Ndo utakoma sasa, mi binafsi namfuata JPM. hiyo katiba kama unayo chumbani kwako ifuate peke yako. kama katiba inakuruhusu maandamano, andamana uone JPM atakavyokutengua taya. mjinga wewe, kusoma hujui hata picha huoni.?
 
Kama mpenda amani katika inchi yangu sipendi kuona kinachompata Lema.

Kwa wapenda mageuzi mlioko nyumbani kwanini msiungane maandamano ya amani kupinga kunyimwa dhamana kwa mh- Godbless Lema?







. Mie binafsi siwezi poteza mda wangu huyo lema akae humo hadi anyooke ajue kuchapa kazi aache ulofa .
 
Back
Top Bottom