inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 495
- 417
Nimejaribu kufuatilia hali inavyoendelea huko ughaibuni U.S, mfululizo wa maandamano watu wakipinga mfululizo wa mauaji ya polisi dhidi ya watu weusi. Lakini maandamano haya yamechukua sura mpya baada ya waandamaji kuwa wanavamia biashara, majengo, magari, kuchoma moto na kufanya uporaji.
Kitu ninachokiona uporaji umeshamiri sana, nimegundua watu wana hali ngumu sana kutoka na lockdown. Hivyo wanatumia mwanya wa maandamano kupora ili kupata ahueni ya maisha.
Kitu ninachokiona uporaji umeshamiri sana, nimegundua watu wana hali ngumu sana kutoka na lockdown. Hivyo wanatumia mwanya wa maandamano kupora ili kupata ahueni ya maisha.