Maandamano Ufaransa kupinga kampuni ya Total kujenga bomba la mafuta la Uganda na Tanzania

Huo ni upuuzi , kama tunapambana na changamoto ya halihewa mbona vita ya Russian na ukrain wanaizamini vifaa,

au vita haipo kwenye uchafuz wa hali ya Hewa maan pande zote mbili zisingepaswa kuuziwa au kupew msaada wa vifaa.
Hayo mabomu yapo live. Ufaransa wanazalisha umeme Kwa vinu vya nuclear, hii ni hujuma, kushinikiza nchi zipige Kura za kulaani Russia. Blackmail!
 
Huyo kijana Omar El Mawi ni mtu hatari sana, anapiga pesa kwa kuandika uongo mwingi huku akijidai anatetea mazingira, Muongo tu. Si angeanza kutetea mazingira yanayochafuliwa Kenya mpaka Kenya inakuwa jangwa kwa kasi kubwa sana.

Huyo ni Mkenya aliyetumwa kwa malipo kufanya kazi hiyo ya kuuchafua huo mradi baada ya Kenya kuukosa. Na sasa kishaona kuna pesa za TOTAL na za Wachina, haziachi. Anapiga kelele anyamazishwe kwa pesa.

Wakenya ni washenzi sana.

Namfananisha akili yake huyo inavyofanya kazi ya kutafuta pesa kwa mtindo kama wa Zitto Kabwe.
 
Huyo kijana Omar El Mawi ni mtu hatari sana, anapiga pesa kwa kuandika uongo mwingi huku akijidai anatetea mazingira, Muongo tu. Si angeanza kutetea mazingira yanayochafuliwa Kenya mpaka Kenya inakuwa jangwa kwa kasi kubwa sana.

Huyo ni Mkenya aliyetumwa kwa malipo kufanya kazi hiyo ya kuuchafua huo mradi baada ya Kenya kuukosa. Na sasa kishaona kuna pesa za TOTAL na za Wachina, haziachi. Anapiga kelele anyamazishwe kwa pesa.

Wakenya ni washenzi sana.

Namfananisha akili yake huyo inavyofanya kazi ya kutafuta pesa kwa mtindo kama wa Zitto Kabwe.
Kama anaweza kufikia viwango vya unafki wa Zitto Kabwe basi nakuunga mkono huyo ni mtu hatari.
 
Kama anaweza kufikia viwango vya unafki wa Zitto Kabwe basi nakuunga mkono huyo ni mtu hatari.
Huyo ni zaidi ya Zitto Kabwe. Msome tu juu hapo, utanielewa.

Hiki kisa kimenikumbusha wanafiki wawili, Zitto na Lissu, zamani walipigia kelele sana Dhahabu na miradi ya pesa nyingi. Wakanyamazishwa kwa pesa.

Wanafiki wapo wengi.
 
RT ni television ya Urusi! Urusi ndio anategemewa Ulaya kuzalisha na kusambaza mafuta! Ujenzi wa Bomba la mafuta ni pigo kwa Urusi maana dominance yake kwenye suala la Mafuta itashuka sana!

No wonder anaipa airtime sana hiyo habari!

Kiuchumi Bomba la mafuta ni breakthrough kwa Uganda na Tanzania kiuchumi. Ila ni a big blow kwa Urusi.

Ndo maana mkiambiwa msimtetee Urusi kwa ujinga anaofanya Ukraine muwe mnaelewa. Mrusi ni mnyama sana
Duh!
 
Mbona Mrusi ana bomba la gesi anasambaza huko Ulaya sijawahi kusikia mambo ya mazingira na sasa hivi kabla ya Vita alikubaliana kujenga Bomba lingine hakuna wanaharakati wala Jumuiya yeyote kupinga..
 
Exactly...!
Competitors funded the demonstration! Kuna harufu ya Kenyans!

Haiwezekani wakawa na uchungu na watu wa East Africa, ni kukosa tenda Tu!

Watuache hatutawauzia mafuta tuone wafaransa watakavyoandamana tena wakitaka mafuta!:D
Sahihi kabisa
 
Wanafunzi na wanaharakati wengine wa maeneo mbalimbali mjini Paris wameandamana kupinga kampuni ya kifaransa ya Total kujenga bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanga, Tanzania.

Wanafunzi hao na wanaharakati wa mazingira wanaitaka serikali ya Ufaransa kuizuia kampuni ya Total kujenga mradi huo wa bomba kwa kigezo cha uharibufu wa mazingira.

Students all around Paris, France are denouncing politicians’ indifference to climate issues. In particular, they’re highlighting plans to build a pipeline between Tanzania and Uganda as part of Total’s EACOP project.
View attachment 2165648
View attachment 2165647


=====

#StopEACOP: Uganda and Tanzania in the battle against oil giants

How a huge new pipeline is set to perpetuate neocolonialism in East Africa

The East African Crude Oil Pipeline (EACOP) in Uganda and Tanzania is a major environmental threat to some of the most delicate ecosystems in the world. The project is being developed by French oil giant Total and the Chinese National Offshore Oil Company (CNOOC). At 1,445 kilometres (900 miles), it will be the longest heated oil pipeline in the world and emit more CO2 than all of Uganda and Tanzania combined – which will undeniably come with catastrophic consequences.

The threat of fossil fuel investment in East Africa

I became involved with the Stop EACOP campaign when I met Omar Elmawi, one of its coordinators, through my work with Stop Cambo at COP26. He had come all the way from Kenya to spread the word about what was happening in East Africa and to demand climate justice.

At the gates to the conference, he held a powerful speech stressing that there must be an end to the use of fossil fuels in a world with climate change – “not here, not anywhere”. Since then, the two campaigns have partnered to highlight that the fight against fossil fuels is a global one.

Recently, the governments of Uganda and Tanzania, alongside the main stakeholders Total and CNOOC, announced the final investment decision for EACOP. It was met with a statement signed by fifty NGOs from Uganda and DRC, urging governments to invest in green industries instead of fossil fuels.

Room for manoeuvre

Speaking to Omar about the recent announcement, he says: “It’s definitely a milestone for the project. 40% of the financing is supposed to come from equity and around 60% from outside loans. Currently, the government has said they are serious about proceeding – but they didn’t disclose whether they’ve secured all the funding they need to go ahead with it. We think it’s unlikely; the announcement seemed more like a way to bring publicity to the project, make financiers interested. But it also means that it’s now at that critical juncture where we have to escalate our organising to try and stop EACOP.”

I’m surprised by his take, as many media outlets portrayed the recent developments as if the pipeline was now definitely going ahead. So it’s still up in the air, I ask?

“Exactly”, says Omar, “and recently, four of the five biggest banks in South Africa have committed to not invest in EACOP. Around the same time, Total announced the biggest profits ever seen by a company in France (around €13 billion). It’s interesting to look at the discrepancy between their profits and how the countries they operate in are faring.”

What threats does EACOP pose?

This brings us to the crux of why EACOP is so problematic. Much of the project will be financed with loans, while Total will cash in most of the profits. There is a real danger that Uganda and Tanzania could actually end up with more debt than they had before. I ask Omar whether he agrees with the many campaigners who accuse Total of perpetuating neocolonialism in East Africa with its extractive ventures.

“Yeah, that’s definitely true. Just look at how the deal is structured: Total and CNOOC have 70% ownership of the project. The governments of Uganda and Tanzania have 15% each. Those who profit the most take the least risks, because it’s the people of Uganda and Tanzania that are exposed to all the impacts. If there are any health impacts and people need to go to the hospital, or if there’s an oil spill in the Lake Victoria region – it’s not Total who will bear those costs.”

No accountability for exploitation
I’m in disbelief. So they don’t even have to pay for cleaning up oil spills?

“There’s no law covering this. They’ve even passed new laws to give Total a tax holiday for 10 years. The project spans 20 years, so for half of it they won’t be paying any VAT or corporate income tax – and in that time they can extract as much oil as they want. Some of those laws are even infringing on constitutional environmental safeguards. They’re passing a law which enables corporations to extract those resources without taking any responsibility once they’re done. It’s a huge problem. They’re selling it as a “game changer” for Uganda and Tanzania – but it’s more of a game changer for Total. And they will just continue to make more and more profit.”

Concerns of the local community
There are a number of concerns surrounding the project, and not just from environmentalists.

Uganda is already experiencing the effects of climate chaos – such as floods, droughts, and crop failures – and it is probably already too late for an oil boom, given that the majority of the global economy has committed to decarbonisation. There is a real risk of stranded assets – economic devaluation due to a fall in demand – as the world moves away from fossil fuels.

But the real threat comes from the pipeline itself: running through multiple protected wildlife habitats and along Lake Victoria (Africa’s largest lake), the risk of oil spills cannot be understated. The project has already led to land grabs from local communities in Uganda, and tens of thousands could be displaced to make space for infrastructure, roads, and a new airport. Those displaced are being sent to temporary housing, where they are suffering from cramped conditions and human rights violations.

It’s not just environmental: the social impact of EACOP
On the social effects of the pipeline, Omar comments: “It’s a really, really long pipeline. It’s going to affect people significantly, especially those who live on the land. Some of them have already been displaced. They’re losing their homes and livelihoods, because a big percentage depend on the land for farming. Seven out of ten people in Uganda are employed in the agriculture sector, so it could affect 70% of the local working population. More than a third of EACOP will be located within the Lake Victoria water basin, which is a source of freshwater and food for more than 50 million people – with no alternative. If an oil spill happens, those communities will be affected the most.”

He continues, “There’s also been issues around security. The government has been aggressive in pushing through this project. Anyone speaking up against it could find themselves being arrested. We’ve seen organisations being threatened to have their licences deregistered. And there’s many other examples.”

But despite constant intimidation and threats, the campaign is going strong. “Our messaging is now focusing on who will be the biggest winners if EACOP goes through, and who will be the biggest losers,” Omar explains. “We are also targeting banks because this project is expensive. The current participants cannot foot the bill – they need lending. So we’re pushing them to commit to not investing in EACOP. So far, it’s working: 15 of the 27 banks we’ve approached have confirmed that they won’t be proceeding with the project. And therefore we have hope that there’s still a chance of stopping it. We are also targeting financial advisors and insurance companies, questioning their climate leadership.

Solidarity and the need for international awareness

But most importantly, we’re trying to escalate this issue on international platforms. Hopefully more and more people will see the wrongdoing that’s being perpetrated in Uganda and Tanzania in the name of ‘development’.”

Stop EACOP has huge international support; French and Ugandan NGOs have taken Total to court over its human rights violations last year. The case was dismissed, but the groups are appealing – with the hope that the oil giant will be forced to take responsibility for its actions.

In the meantime, there are lots of ways we can help remotely: “People can pray for us, but they can also take action”, Omar says. “You can donate to support our community partners in Uganda and Tanzania, so they’re able to be consistent with the work that needs to be done. You could sign our petition pushing stakeholders to drop the project, which has around 1 million signatures so far. On our website, you can send an email to the banks and insurance companies we’ve been targeting.

People can also help by following our Twitter and Instagram pages and sharing our message. You can take a photo with a ‘Stop EACOP’ sign and tag us. We want to show that this campaign is not just a few people who are opposed to development, but a global campaign that’s being driven by communities. Because it’s an injustice to all life.”

When asking whether Omar has a message to people reading this article, he stresses: “We should not be looking at fossil fuels as a vacuum, without considering the bigger picture. People should be just as concerned about fossil fuel projects in Uganda as those in their own backyard. People in the UK, for example, should be just as bothered about EACOP as they are about the Cambo oil field. We need to build an understanding that we must fight all fossil fuel projects – not just in our own countries, but around the world. Once we are able to do this, then we can claim that we are genuinely taking climate action.”


Nilishasema huu mradi wa wajinga hautafanikiwa. Tutaachwa na madeni makubwa, TOTAL wanajua kabisa siku za petroleum na diesel zimekwisha lakini wanahimiza huu mradi wa hovyo. Najua wengi hamtanielewa.
 
RT ni television ya Urusi! Urusi ndio anategemewa Ulaya kuzalisha na kusambaza mafuta! Ujenzi wa Bomba la mafuta ni pigo kwa Urusi maana dominance yake kwenye suala la Mafuta itashuka sana!

No wonder anaipa airtime sana hiyo habari!

Kiuchumi Bomba la mafuta ni breakthrough kwa Uganda na Tanzania kiuchumi. Ila ni a big blow kwa Urusi.

Ndo maana mkiambiwa msimtetee Urusi kwa ujinga anaofanya Ukraine muwe mnaelewa. Mrusi ni mnyama sana
Bora unyama wa urusi kuliko unyama wa marekani.
 
Hii trick imekuwa inatumiwa sana na Russia. Kila nchi za Ulaya wanapotaka ku invest kwenye energy kunatokea maandamano. Wao huko Russia wanawekeza bila bughudha. Sasa Ulaya iko dependent kwenye energy ya Russia. Na sio ajabu RT kuandika hayo.
RT ni mjumbe tu, tukio limetokea ufaransa na sio urusi.
 
Typically Bongo mindset! Kufikiria nje ya box ni haraka kama muislam kula kibudu! Take your time, tafakari kabla ya kuandika! Anayeharibu mazingira hata akiwa ule North pole, aliye South pole ataathirika! Halafu unaonyesha ubinafsi tulio nao watanzania wengi. Kitu mpaka kiwe kinakuathiri wewe ndiyo uwe na concern! Anyways, haya maandamano ya wanaharakati za mazingira Ulaya yapo kila kona na kila siku. Kwa mfano kuna wanaotaka magari yanayotumia mafuta yapigwe marufuku kabisa baada ya miaka 10 ijayo. Huwa wanafunga barabara na kufanya kila aina ya ghasia. Hata hivyo bomba litajengwa na haya maandamano hayatazuia.
Kwaio Tanzania pekee na Afrika ndo kuna Uchafuzi wa Mazingira Mkuu ?Wao ni wabinafsi tu na hizo ni Propaganda tu maana ukiwa Mwafrika kuinuka kwao ni chukizo kwao
 
uwivu unawasumbua kenge hawa..
wanataka kila siku watuone kwenye maboat tukikimbia africa kwenda kwao sababu ya msoto..
neema ndogo tu wanataka kuizuia
dunia ngumu hii..
 
Kumbe sisi bado hatujajua umuhimu wa kutunza mazingira yetu badala yake mabeberu ndio wanaujua umuhimu.

Au ni wivu kwa sisi kuja kunufaika na ajira zitakazomwagwa kwenye huo ujenzi...
Mkuu soma vizuri kampeni hiyo imeanzishwa na Mkenya Omari Elmawi ...

Huyo ndio ana uchungu na Tanzania na Uganda kuliko wenye nchi hizo mbili.
Jamaa bado inawatesa kuukosa huu mradi.

Uzuri mradi huu wa beberu mfaransa na beberu wa mashariki roho ngumu mchina lazima utaendelea tu na kukamilika ikibidi damu zimwagike zitamwagika mradi beberu apige pesa hiki kiwese.
 
RT ni television ya Urusi! Urusi ndio anategemewa Ulaya kuzalisha na kusambaza mafuta! Ujenzi wa Bomba la mafuta ni pigo kwa Urusi maana dominance yake kwenye suala la Mafuta itashuka sana!

No wonder anaipa airtime sana hiyo habari!

Kiuchumi Bomba la mafuta ni breakthrough kwa Uganda na Tanzania kiuchumi. Ila ni a big blow kwa Urusi.

Ndo maana mkiambiwa msimtetee Urusi kwa ujinga anaofanya Ukraine muwe mnaelewa. Mrusi ni mnyama sana
Kampeni hii chafu kaanzisha mtu toka Kenya Omar Elmawi ...
Soma viziri maelezo.

Wakenya bado hawajakubali kushindwa.
 
Nchi ngumu sana hii!

Hao RT wanatutafuta nini?
Kampeni imeanzishwa na mtu toka Kenya Omari Elmawi.
Soma melezo vizuri.

Mama aendelee tu kuwafungulia mipaka wakenya ataijua rangi yao halisi.
Bado hawajakubali kuikosa hii dili.
 
RT ni television ya Urusi! Urusi ndio anategemewa Ulaya kuzalisha na kusambaza mafuta! Ujenzi wa Bomba la mafuta ni pigo kwa Urusi maana dominance yake kwenye suala la Mafuta itashuka sana!

No wonder anaipa airtime sana hiyo habari!

Kiuchumi Bomba la mafuta ni breakthrough kwa Uganda na Tanzania kiuchumi. Ila ni a big blow kwa Urusi.

Ndo maana mkiambiwa msimtetee Urusi kwa ujinga anaofanya Ukraine muwe mnaelewa. Mrusi ni mnyama sana
Mbona unchanganya mambo mkuu bomba linapingwa na wa faransa warusi wemeingia vipi ,kama lingekuwa na manufaa kwa ulaya na pigo kwa urusi basi ulaya wangelichangamkia haraka.

RT imeripoti tu habari
 
Bro si ni sawa na yale ya kuzuia barabara ipite Serengeti? Michezo michafu. Usiposhtukia wewe utajifanya unatunza mazingira, huku wao wanawekeza. Kwanini China mikataba mingi ya mazingira hakuridhia. Kucheleweshana.
Acheni kudanganywa. Maandamano ya wana mazingira nchi zilizoendelea hasa Ulaya yapo kila siku. Laiti ungejua madai wanayotoa kwa serikali zao zifanye nchini kwao usingesema namna hii.
Kwaio Tanzania pekee na Afrika ndo kuna Uchafuzi wa Mazingira Mkuu ?Wao ni wabinafsi tu na hizo ni Propaganda tu maana ukiwa Mwafrika kuinuka kwao ni chukizo kwao
Ulaya ndiyo kuna upinzani zaidi. Huku kwetu cha mtoto.
 
Back
Top Bottom