Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,956
- 7,209
Hayo mabomu yapo live. Ufaransa wanazalisha umeme Kwa vinu vya nuclear, hii ni hujuma, kushinikiza nchi zipige Kura za kulaani Russia. Blackmail!Huo ni upuuzi , kama tunapambana na changamoto ya halihewa mbona vita ya Russian na ukrain wanaizamini vifaa,
au vita haipo kwenye uchafuz wa hali ya Hewa maan pande zote mbili zisingepaswa kuuziwa au kupew msaada wa vifaa.