mlitegemea muibe na kuwakatili wapenda mabadiliko na watu wote waseme amen? Mmeliwa na huo ni mwanzo tu.
tupatieni vibali maana mmeziti kwa vibali, barua za kutunga kuibiwa wakati huna cha kuibiwa, wezi wakubwa tunasubiri ndoa ya rais wenu,, tutekeleze ilani ya ccm kwa maendeleo, kidumu ccm