Maandamano Rukwa kumlaani Mh Aeshi Risasi Igunga

Masikini alijtumwa na magamba! Enyi wapumbavu acheni kutumwa na wapumbavu wenzenu!
 
Wananchi sumbuwanga mjini wanaandaa mandamano ya kumulaan Mbunge wao kwa Matumizi ya Silaha Igunda.Wanapanga kuandamana Leo

Source! Mimi niko Sumbawanga shz. Hata hivyo, huyo mbunge mbona kilaza tu fisadi mkubwa, mimi nimesoma naye primary Jangwani akafeli darasa la saba ila baba yake mzee Hilaly alifanya mambo yake akafanikiwa kumwingiza huyo Aishi na dada yake anaitwa Jamila Mazwi sekondari 1990, jamaa alikuwa boya hasa, mwaka 1992 huyo Aishi alifukuzwa na wenzake 7 yeye alikuwa mfadhiri wa hao waliofukuzwa nao, kilikuwa ni kikundi cha wabakaji, walevi na wavuta bangi, wenzake wote waliendelea na shule za binafsi na kwa sababu tu ya ukilaza wake ndo maana hata baba yake hakuangaika kumpeleka tena shule yoyote hata dada yake aliambulia zero fomu 4, baada ya kufukuzwa shule aliendeleza uchafu wake, mfanyabiashara maarufu hapa Sumbawanga Said Bus aliamua kumtumia katika biashara ya kuvusha sukari toka Zambia kuleta Tanzania, na kwa kiasi kikubwa biashara aliyokuwaakifanya ni magendo, ni kipindi hicho kwa magendo hayo akajipatia vijisenti vya kifisadi, mwaka 2007 akajiingiza CCM na kwakuwa viongozi wa CCm wilaya ya Sumbawanga akina mzee Kabanga, Tung'ombe, mama Maufi na Matete nao njaa kali wakampamba na kumwandalia mazingiara ya kugombea ubunge kwani aliwajaza mapesa ya kifisadi wakajaa wakalewa hadi wakasaliti imani yao ya dini, hadi walishafungiwa kusali.Azima yao ilitimia na kuhakikisha anapita ubunge na hatimaye mtoto wa mkulima aliingiza kwenye mkumbo akatumia kura ya veto, habari toka watu wa uhakika mtoto wa mkulima alishiriki uchakachukuzi wa matokeo ya sumbawanga mjini.Zaidi ya yote Aishi anatuhuma nzito za udhalilishaji na ubakaji, uwezo wa kujenga hoja hana, elimu ndo hivyo tena, anachokifanya ni kutumia umasikini wa wanasumbuanga kwa kugawa vijisent vidogo vidogo na viunifomu vya magamba! Kwa hiyo sishangai kwenda Igunga kufanya vituko vya kijinga, ni kilaza namba one!
 
duh, kuna % ya ukweli kwenye hayo uliyoyoandika mkuu, ila nashangaa saa nane za usiku mbunge wa kiume na mbunge wa viti maalum mpo wapi? baa, gest, mkutano wa dharura au kwenye kampeni? watu wanatafakari mustakabari wa nchi nyie bado mnazurura igunga?

aisee hii ni nomaaa....
 
Source! Mimi niko Sumbawanga shz. Hata hivyo, huyo mbunge mbona kilaza tu fisadi mkubwa, mimi nimesoma naye primary Jangwani akafeli darasa la saba ila baba yake mzee Hilaly alifanya mambo yake akafanikiwa kumwingiza huyo Aishi na dada yake anaitwa Jamila Mazwi sekondari 1990, jamaa alikuwa boya hasa, mwaka 1992 huyo Aishi alifukuzwa na wenzake 7 yeye alikuwa mfadhiri wa hao waliofukuzwa nao, kilikuwa ni kikundi cha wabakaji, walevi na wavuta bangi, wenzake wote waliendelea na shule za binafsi na kwa sababu tu ya ukilaza wake ndo maana hata baba yake hakuangaika kumpeleka tena shule yoyote hata dada yake aliambulia zero fomu 4, baada ya kufukuzwa shule aliendeleza uchafu wake, mfanyabiashara maarufu hapa Sumbawanga Said Bus aliamua kumtumia katika biashara ya kuvusha sukari toka Zambia kuleta Tanzania, na kwa kiasi kikubwa biashara aliyokuwaakifanya ni magendo, ni kipindi hicho kwa magendo hayo akajipatia vijisenti vya kifisadi, mwaka 2007 akajiingiza CCM na kwakuwa viongozi wa CCm wilaya ya Sumbawanga akina mzee Kabanga, Tung'ombe, mama Maufi na Matete nao njaa kali wakampamba na kumwandalia mazingiara ya kugombea ubunge kwani aliwajaza mapesa ya kifisadi wakajaa wakalewa hadi wakasaliti imani yao ya dini, hadi walishafungiwa kusali.Azima yao ilitimia na kuhakikisha anapita ubunge na hatimaye mtoto wa mkulima aliingiza kwenye mkumbo akatumia kura ya veto, habari toka watu wa uhakika mtoto wa mkulima alishiriki uchakachukuzi wa matokeo ya sumbawanga mjini.Zaidi ya yote Aishi anatuhuma nzito za udhalilishaji na ubakaji, uwezo wa kujenga hoja hana, elimu ndo hivyo tena, anachokifanya ni kutumia umasikini wa wanasumbuanga kwa kugawa vijisent vidogo vidogo na viunifomu vya magamba! Kwa hiyo sishangai kwenda Igunga kufanya vituko vya kijinga, ni kilaza namba one!
Hivi kweli na nyinyi watu wa Sumbawanga yaani bado mnajisifia kwamba mna Mbunge!!!???. Kwanini msifanye maamuzi magumu. Kwenye hayo maandamano amueni moja, fuateni utaratibu kisha mpeleke barua kwa Spika wa Bunge kuhusu maamuzi yenu magumu pia kwenye tume ya uchaguzi.
 
duh, kuna % ya ukweli kwenye hayo uliyoyoandika mkuu, ila nashangaa saa nane za usiku mbunge wa kiume na mbunge wa viti maalum mpo wapi? baa, gest, mkutano wa dharura au kwenye kampeni? watu wanatafakari mustakabari wa nchi nyie bado mnazurura igunga?

aisee hii ni nomaaa....

Unashangaa nini mkuu wakati kaulimbiu yao huko Igunga ni KUSAGANA NA KUKOBOANA?
 
Hivi hakuna sheria inayoruhusu wapiga kura kumuondoa mbunge wao pale wanapobaini kuwa hawafai tena? Ingekuwa vizuri wananchi wa Sumbawanga Mjini wakaja na azimio la kumng'oa huyo kilaza jambazi.
 
jeshi la polisi linanafanya kaz kwa maagizo ya ccm huyu aesh na easter bulaya sijui m.l.ya ndio walivamia ssa iweje akasachiwe kamanda wetu mwita waitara ?
 
japo ya yote ini kwamba kwenye uchaguzi uliofanyika sumbawanga CDM ndio ilikuwa imeshinda chini ya mzee Mwakabonga aliyekuwa mkuu wa shule ya secondari kantalamba lakini magamba wali chakachua fasta hivyo upumbavu ambao alifanya huyo mbuge wa magamba ni hali yake ya ujuha aliyo nayo
 
Source! Mimi niko Sumbawanga shz. Hata hivyo, huyo mbunge mbona kilaza tu fisadi mkubwa, mimi nimesoma naye primary Jangwani akafeli darasa la saba ila baba yake mzee Hilaly alifanya mambo yake akafanikiwa kumwingiza huyo Aishi na dada yake anaitwa Jamila Mazwi sekondari 1990, jamaa alikuwa boya hasa, mwaka 1992 huyo Aishi alifukuzwa na wenzake 7 yeye alikuwa mfadhiri wa hao waliofukuzwa nao, kilikuwa ni kikundi cha wabakaji, walevi na wavuta bangi, wenzake wote waliendelea na shule za binafsi na kwa sababu tu ya ukilaza wake ndo maana hata baba yake hakuangaika kumpeleka tena shule yoyote hata dada yake aliambulia zero fomu 4, baada ya kufukuzwa shule aliendeleza uchafu wake, mfanyabiashara maarufu hapa Sumbawanga Said Bus aliamua kumtumia katika biashara ya kuvusha sukari toka Zambia kuleta Tanzania, na kwa kiasi kikubwa biashara aliyokuwaakifanya ni magendo, ni kipindi hicho kwa magendo hayo akajipatia vijisenti vya kifisadi, mwaka 2007 akajiingiza CCM na kwakuwa viongozi wa CCm wilaya ya Sumbawanga akina mzee Kabanga, Tung'ombe, mama Maufi na Matete nao njaa kali wakampamba na kumwandalia mazingiara ya kugombea ubunge kwani aliwajaza mapesa ya kifisadi wakajaa wakalewa hadi wakasaliti imani yao ya dini, hadi walishafungiwa kusali.Azima yao ilitimia na kuhakikisha anapita ubunge na hatimaye mtoto wa mkulima aliingiza kwenye mkumbo akatumia kura ya veto, habari toka watu wa uhakika mtoto wa mkulima alishiriki uchakachukuzi wa matokeo ya sumbawanga mjini.Zaidi ya yote Aishi anatuhuma nzito za udhalilishaji na ubakaji, uwezo wa kujenga hoja hana, elimu ndo hivyo tena, anachokifanya ni kutumia umasikini wa wanasumbuanga kwa kugawa vijisent vidogo vidogo na viunifomu vya magamba! Kwa hiyo sishangai kwenda Igunga kufanya vituko vya kijinga, ni kilaza namba one!
sasa ilikuaje mkamchagua huku mkijua yote hayo kama sio ukilaza na umbumbumbu wenu?............. inaonyesha watu wa huko vilaza kuliko mbunge wao

aisee
 
sasa ilikuaje mkamchagua huku mkijua yote hayo kama sio ukilaza na umbumbumbu wenu?............. inaonyesha watu wa huko vilaza kuliko mbunge wao

aisee
MTM heshima mkuu! Si vyema kuwatukana wananchi wa Sumbawanga, heri uulize kilichotokea. Huyo Aeshi hakushinda kwa kura hata kidogo, watu walijumlisha kura kituo hadi kituo na CHADEMA ilishinda kwa tofauti ya kura 100. Pinda aliiitisha kikao na msimamizi wa uchaguzi na akamuamuru achakachue, jambo hilo liliwaudhi watu wengi hadi mzee Mzindakaya akataka amkunje Pinda. Hakuna aliyemtaka huyu jamaa. Usiwatukane watu wa Sumbawanga, walitimiza wajibu wao, wakachagua headmaster (kutoka CHADEMA) aliyemfukuza shule Aeshi miaka ya nyuma!
 
MTM heshima mkuu! Si vyema kuwatukana wananchi wa Sumbawanga, heri uulize kilichotokea. Huyo Aeshi hakushinda kwa kura hata kidogo, watu walijumlisha kura kituo hadi kituo na CHADEMA ilishinda kwa tofauti ya kura 100. Pinda aliiitisha kikao na msimamizi wa uchaguzi na akamuamuru achakachue, jambo hilo liliwaudhi watu wengi hadi mzee Mzindakaya akataka amkunje Pinda. Hakuna aliyemtaka huyu jamaa. Usiwatukane watu wa Sumbawanga, walitimiza wajibu wao, wakachagua headmaster (kutoka CHADEMA) aliyemfukuza shule Aeshi miaka ya nyuma!

Ukiona maneno mengi ujue mlishindwa kihalali, hakuna hoja hapo !
 
MTM heshima mkuu! Si vyema kuwatukana wananchi wa Sumbawanga, heri uulize kilichotokea. Huyo Aeshi hakushinda kwa kura hata kidogo, watu walijumlisha kura kituo hadi kituo na CHADEMA ilishinda kwa tofauti ya kura 100. Pinda aliiitisha kikao na msimamizi wa uchaguzi na akamuamuru achakachue, jambo hilo liliwaudhi watu wengi hadi mzee Mzindakaya akataka amkunje Pinda. Hakuna aliyemtaka huyu jamaa. Usiwatukane watu wa Sumbawanga, walitimiza wajibu wao, wakachagua headmaster (kutoka CHADEMA) aliyemfukuza shule Aeshi miaka ya nyuma!
Thanks Babkey na Jabulani... ninaheshimu sana mawazo yenu ila kinachonishangaza mbona hakuna appeal??

Ni vipi wananchi walishindwa kusimama imara kusema hii haiwezekani?? kumbuka kuna wapuuzi fulani wanasema usimulize nchi imekufanyia nini ila wewe utaifanyia nini nchi... je wao walisimama na kuifanyia nchi haki??? au ndiyo yale ya mwanamke anabakwa halafu katikati ya tendo anakatikia??

sorry for a foul language
 
mnaandamana? vipi sare za ccm na doti za khanga na vitambaa na vijisent
mlivyohongwa vimeisha? hayo maandamano ni ya kuomba mpewe tena, igunga
ni mwamvuli tu. doti moja tu.... imewaumbua, subirini 2015 mfanye maamuzi
yenye akili, sio kuandamana wakati mmeshachelewa
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom