Chadema imekuwa ikitumia sana msemo wa nguvu ya umma. Kwa tanzania bado haijatokea umma ukatoa malalamiko kwa serikali kwa njia ya maandamano. Kilichotokea Misri ni nguvu ya umma bila ushawishi wa chama cha siasa au dini. Ni vijana walioona maisha magumu then wakajipanga na kufanikiwa kumtoa raisi madarakani. Libya ni chama cha siasa kinachohamasisha maandamano. Si raia tu asiye na muelekeo wa kiitikadi. Tanzania ina vyama vingi cdm, cuf, ccm, nccr nk. Ukichukua wastani wa wapenzi na washabiki wa vyama vya cuf, ccm,nccr nk. Ni asilimia 89. Asilimia 11 tu ndio washabiki na wapenzi wa chadema. Then you call nguvu ya umma. Chadema wanaichezea nchi na kuona watu wote hawana akili isipokuwa those 4 rich people. Nguvu ya umma bado hiyo ni nguvu ya chadema na wafuasi wao.