President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Suala la kuandamana nchi nzima Jumamosi hii litakuwa na tija kama usalama wa watu na mali utazingatiwa. Hoja kama tuandamane au tusiandamane ni lazima kuwa makini, ili kufikia malengo yaliyokusudiwa. Usalama kwanza.