Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Wana Jf, naandika hili nikiwa na nia ya dhati kabisa ya kutaka kujua for just in case wakuu.
Hivi Wamisri na Watunisia walianza anza vipi mpaka wakaandamana na kuanzisha harakati za kuziondoa serikali zao madarakani.
Simaanishi kuwa nahitaji kujua chanzo, laa!
Nataka kujua wali'organize vp mpaka maandamano mgomo ukapewa support na. Raia wengi tena kwa muda mfupi tuu.
Kingine, Serikali zao ziliamua ku'block mawasiliano yote ya ndani na nje ya nchi lakini still waandamanaji wanaonekana wana ushirikiano kana kwamba wana mawasiliano.
Jamani mwenye kujua anijuze,
Yaliandikwa matangazo magazetini, matangazo na wito wa kuandamana ulitangazwa ktk televisheni na redio stesheni au ilikuwaje kuwaje?
Hivi Wamisri na Watunisia walianza anza vipi mpaka wakaandamana na kuanzisha harakati za kuziondoa serikali zao madarakani.
Simaanishi kuwa nahitaji kujua chanzo, laa!
Nataka kujua wali'organize vp mpaka maandamano mgomo ukapewa support na. Raia wengi tena kwa muda mfupi tuu.
Kingine, Serikali zao ziliamua ku'block mawasiliano yote ya ndani na nje ya nchi lakini still waandamanaji wanaonekana wana ushirikiano kana kwamba wana mawasiliano.
Jamani mwenye kujua anijuze,
Yaliandikwa matangazo magazetini, matangazo na wito wa kuandamana ulitangazwa ktk televisheni na redio stesheni au ilikuwaje kuwaje?