Chama cha madaktari Tanzania-MAT kimeitisha maandamano makubwa dhidi ya serikali wiki Ijayo.Maandamano hayo yataanzia Hospitali ya Muhimbili mpaka wizara ya Afya.
Sababu kubwa ya maandamano ni kulaani tukio la kupigwa mwenyekiti wa jumuiya ya madaktari Stephen Ulimboka. Pili wanalaani kufutiwa usajili madaktari wanafunzi-Interns. Tatu wamesema madaktari bingwa wameanza kuacha kazi na wengine wanahangaika kutafuta kazi nje ya nchi.
Pia wamelaani kufunguliwa mashtaka kwa Rais wa MAT Namala Mkopi.Katibu Mkuu wa MAT amewaomba Watanzania wote wenye mapenzi mema kujitokeza kwa wingi siku ya. Maandamano ya madaktari ili kuwaunga mkono.
Source:CHANEL TEN
Sababu kubwa ya maandamano ni kulaani tukio la kupigwa mwenyekiti wa jumuiya ya madaktari Stephen Ulimboka. Pili wanalaani kufutiwa usajili madaktari wanafunzi-Interns. Tatu wamesema madaktari bingwa wameanza kuacha kazi na wengine wanahangaika kutafuta kazi nje ya nchi.
Pia wamelaani kufunguliwa mashtaka kwa Rais wa MAT Namala Mkopi.Katibu Mkuu wa MAT amewaomba Watanzania wote wenye mapenzi mema kujitokeza kwa wingi siku ya. Maandamano ya madaktari ili kuwaunga mkono.
Source:CHANEL TEN