kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Hujuma za CCM tumeishazizoea wanaanda maandamano wenyewe kwa kivuri cha CDM,
hapo ni sawa na kujitekenya na kucheka mwenyewe.
Ni jambo la kipuuzi tu na hufanywa na watu wapuuzi wenye mawazo finyu,
by the way waandamane wasiandamane CDM haitarudi nyuma habari ndio hiyo.
hapo ni sawa na kujitekenya na kucheka mwenyewe.
Ni jambo la kipuuzi tu na hufanywa na watu wapuuzi wenye mawazo finyu,
by the way waandamane wasiandamane CDM haitarudi nyuma habari ndio hiyo.