Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 9,397
- 8,855
Kwani kuhusika ni lazima uwe eneo la tukio?Kamanda! Zitto yupo Dodoma maandamano ya Kigoma sasa anahusika vipi.
Kwani kuhusika ni lazima uwe eneo la tukio?Kamanda! Zitto yupo Dodoma maandamano ya Kigoma sasa anahusika vipi.
mkuu kuhusika lazima awepo kigoma?Kamanda! Zitto yupo Dodoma maandamano ya Kigoma sasa anahusika vipi.
teh teh, wewe ndo mshauri wake?Babu ashauriki,kanisani alivuruga,famili kavuruga,ofisini nako PS wake kamnyang'anya mumewe,pesa za Chama kajikopesha.AKIUKWAA URAISI LAZIMA AWE DIKTETA, UKANDA MBAYA SANA.
teh teh, mbavu zangu mie!MAGANDA YATAHARISHA HADI UTUMBO!! Eti kuandamana mbele ya RPC!! Wamguse Rais wangu kama sijasafiri kwa mguu kuja chigoma!! nione Lumumba yao iko wapi halafuuuuuuu!! eti waniondolee ndoto ya ukombozi kwa kumuua rais wangu!! weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee patanuka!!
nimekuelewa mkuu!Mkuu unakosea kusema wanakigoms sema wanaccm mbona Slaa amepokelewa vems Kasulu na Kibondo ambszo ni sehemu ya Kigoma kwahiyo kusema wans kigoma mnatukosea. Binafsi nashauri Zitto afukuzwe tu ili huu ujinga uishe
hayo umeyasema wewe mkuu!Udp nacho chatuhumiwa kukihujumu chadema kazi ipo.
kwani jk sio mbaguzi?Kiti cha Urais wa Saccos CDM kikowazi atapita kwa kura nyingi sana, lkn si Urais wa Jamhuri ya Muungano waTz hatuko tayari kuongozwa na wabaguzi!
amedhalilishwa kivip?Red brigade walikuwa wapi wakati kamanda slaa anadhalilishwa....
vijana wa yebo maskini wametumika kama kondomu tu, hakuna chochote hapo! Wamelamba 5000, basi! Maandamano haya hayana msingi wala sababu kufanyika! Kwani ni lini wanakigoma walimchagua zitto awe naibu katibu mkuu wa chadema? Huu ni zaidi ya uhuni!
kimenuka kwa hao wahuni wachache kununuliwa kwa buku 5000? Hapo wanakigoma wa kiccm wamejidhalilisha sana! Dr. Slaa songa mbele mkuu..Haya sasa kimenuka hicho.
Ubishi utawaponza.
Ni siasa za ccm za maji taka.Kama zzk ana faa kwanini wasimchukue tu awasaidie?Mnang'ang'ania abaki chadema kwa nini?Mnatumia hela zote hizo kuandaa vijana waandamane na polisi wanaruhusu.What a heal of this!Nadhani hata shetani ata jikatalia kuwa sikuwatumaMmmhhh!!
Nadhani hawa maccm hawa amini katika Mungu.Wasinge chezea hela za walipa kodi kucheza mchezo mchafu kama huo.Kosa moja wanalo fanya ni kufikiri watanzania ni wajinga hawa wezi kujua uchafu wao.Tusijue kwanini wakati mnalipa bodaboda waziwazi hivyo ili waandamane?time will tellYani nimescroll 8 pages naishia kukuta picha moja!!!
Kime nuka kipi wakati mnalipa tu vijana wa ccm waandamane.Nawenyewe wajinga 5000 hela gani hiyo?Mngewambia mshiko wa kutosha.Kujaza mafuta bodaboda ndiyo nini watoe pesa nyingi siyo 5000Haya sasa kimenuka hicho.
Ubishi utawaponza.