Kaka lakini huwa chadema haiwataki Polisi leo inaomba msaada polisi! Kweli kuishi kwingi kuona mengi! Mimi nashangaa Tanzania ina mikoa 26 inakuaje Dr Slaa aende Kigoma kama sio kujitakia uchuro
Unatakiwa uombewe! Na si ajabu wewe umetokea katika nchi za jirani tu maaana hata ufahamu siasa za nchi hii! Siyo kama vile nchi za jirani raia wake anapotakiwa kuulizwa kitambulisho anapotoka kusini kwenda magharibi! Mtanzania yeyote ana haki kikatiba kwenda kokote nchini na hatakiwi kuchaguliwa na mtu yeyote mahali pa kwenda au kuishi. Ww rudi kwenu kwani mizimu ya wazee wako inakutafuta!