Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigoma ni sehemu ya Tanzania, ningeshangaa kama Dr.Slaa angeenda Kigali, CHADEMA haijikombi kwa polisi maana polisi ni wauaji ndio maana wanabariki mauaji kutoka kwa hao wahuni wa CCM.Kaka lakini huwa chadema haiwataki Polisi leo inaomba msaada polisi! Kweli kuishi kwingi kuona mengi! Mimi nashangaa Tanzania ina mikoa 26 inakuaje Dr Slaa aende Kigoma kama sio kujitakia uchuro
Waandamanaji wana haki ya kuandamana na naamini Dr atawasikiliza waandamanaji hao waliotumwa kuandamana kama alivyofanya kwa wale wengine walio kuwa wamelewa chakari.!!
RPC hakurupuki ngoja wamuue kwanza atachukua hatua,kiherehere chake Dr Slaa kwenda kigoma kafuata mauti
RPC hakurupuki ngoja wamuue kwanza atachukua hatua,kiherehere chake Dr Slaa kwenda kigoma kafuata mauti
magwanda kwisha habari yao, eti Slaa kaenda kuwatuliza Kigoma.
Kwi kwi kwi teh teh teh.
Waandamanaji wana haki ya kuandamana na naamini Dr atawasikiliza waandamanaji hao waliotumwa kuandamana kama alivyofanya kwa wale wengine walio kuwa wamelewa chakari.
Ninacho jiuliza ni kauli ya vitisho tena ya jinai ya kusema kuwa Dr akikanyaga Mwandiga atauwawa tena ikitolewa mbele ya polisi halafu hakuna zinachukuliwa?!!!!
Leo yamefanyika maandamano makubwa kumpinga Dr.Slaa huko Kigoma, waandamanaji hao walimuonya RPC kuwa Dr.Slaa akikanyaga kwao watamuua, wakitaja sababu za kumuua dr. slaa waandamanaji hao wakiongozwa na vijana wa UVCCM waliojivika ngozi ya makamanda wa CHADEMA walisema ni kwasababu Dr.Slaa aliua ndoto za kijana wao Zitto hivyo nayeye lazima wamuue, habari zaidi zitawajia hivi punde pamoja na picha.