spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
Tulitemegemea watu wangekufa barabarani wakati wakiandamani. Tulitemegema tungeona Ambulance ikiokota maiti mitaani
Ni Rais Magufuli pekee Africa ndiye aliyeshtukia kuwa ugonjwa ulikuwa unasambazwa vifaa feki. Viongozi wenye vichwa AUTOMATIC wanakopi na kupest kutoka kwa Mabeberu.
Unajifunza nini
Ni Rais Magufuli pekee Africa ndiye aliyeshtukia kuwa ugonjwa ulikuwa unasambazwa vifaa feki. Viongozi wenye vichwa AUTOMATIC wanakopi na kupest kutoka kwa Mabeberu.
Unajifunza nini