Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,633
Hakika wewe ni mgonjwa haswa wala hujitambui kabisa.Unatetea upumbafu kwa vile hujitambui.CDM ipo na itakuwepo kwa nguvu za MAULANA.DR SLAA yupo kigoma na heri kwao waliojimbua na kuhudhuria mikutano ya cdm maana hao ukombozi wa pili utawatumikia.kama kigoma watu nyomi wanajitokeza na huku Mwanza sasa? subiri mh Mbowe j.mos ndani ya ROCK CITY UIONE NGUVU YA MAMBA KUMAJI! Hao wanaoandamana wambieni waje na huku tuzae nao! hatulei ujinga mwanza!