Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
CCM inaingia vipi kwenye matatizo ya kujitakia ya Chadema?
Mwenyekiti wa Chadema wa Mkoa wa Kigoma alishamshauri Dr. Slaa aahirishe safari yake, lakini Slaa amebisha. Hapo msitafute mchawi...
Acheni uoga wa kike, Kwani huko kungine amefanyaje Mikutano? Poor you.