Nipo hapa mwanga naona gari linapita likitangaza Maandamano ya kupinga ujio wa Dk Slaa mjini kigoma, Maandamano hayo yataanzia mwandiga hadi viwanja vya community center ambapo ndipo Dk Slaa anategemea kufanya mkutano wa hadhara kesho, Maandamano yatafanyika tarehe 8.12.2013 kesho jumapili. Maandamano yataanza saa 2 asubuhi. Gari kwa sasa limeelekea maaneo ya ujiji.
Mkuu sixgates
Hawa Chadema wanatapata tu wawatishie maisha na hawa hapa chini, tuliwaambia Zitto ni zaidi ya Lema, Mbowe, Mnyika, Lissu, na wengine wote hawakutaka kutusikia.
LIVE KUTOKA KIGOMA.Kinachoendelea KIGOMA muda huu na hata kwenye kwenye Maandamano Makubwa ni hiki wanachama wa CHADEMA wakiandamana kupinga ujio wa Dr SLAA na viongozi wenzake mkoani. Ukweli ni Kwamba Dr. Slaa amekutana na wakati Mgumu akiwa Kigoma. Picha zingine zitakuja na saa mbili Usiku ITV, TBC NA STAR TV wataonesha hali ya leo Kigoma walivyojitokeza Kupinga Ujio wa Dr. Slaa.
Ndugu zangu
Ili tuendelee tunahitaji fikra mpya za kujenga, kama kila kijana mwenye wazo jipya atapingwa kwenye hivi vyama vyetu vya siasa hatutafika mbali.
Viongozi wa juu wa Chadema wamekuwa wakiendesha ufisadi na ubabe kwenye matumizi ya ruzuku ya chama. Kwa muda mrefu imekuwa kila anayejaribu kuhoji matumizi ya pesa za ruzuku ya chama anapewa jina la Msaliti au anatumiwa na CCM. Kwao Usaliti na Uasi vina maana moja nayo ni "Mtu yeyote anayehoji jambo lolote linaloonekana kugusa maslahi ya viongozi wa juu au kutaka kugombea nafasi zao"
CCM imekuwa ikitumika kama kichaka cha mafisadi hao wa Chadema kujificha kwa kuwasakizia CCM kila jambo baya linalitokea Chadema. Sasa wananchi wameshawajua. Napendekeza OPARESHENI TIMUA DR.SLAA NA MBOWE iendelee nchi nzima. Hawa wazee ni walevi wa madaraka wakipewa nchi tutauza mpaka soksi.
Shime wanachadema na wazalendo wote wanaojitambua fukuza wabinafsi hao wajifunze kuwa upepo mzuri unategemea matendo mene na si jina la chama. Hongera wanakigoma kwa kumtimua Dr. Slaa. Mwanza tunajiandaa kumfukuza Mbowe ambaye tumesikia anakuja tarehe 14 mwezi huu na atafikia kwenye Hoteli ya Vijana wa Lowasa akina peter Makere Pale Goldcrest.
Haiingii akilini Peter Makere ni mfanyakazi wa mmoja wa wafadhili wa Friends of Lowasa halafu huyo huyo ndiye Lema amempa Uenyekiti wa M4C kanda huu ni unafiuki. Harakati za wanachama kukikomboa chama ni muhimu sana wakati huu.
MBOWE NA SLAA WAMESHINDWA KUWATENDEA HAKI WANACHAMA WAO HAWAWEZI KUWATENDEA HAKI WANANCHI.