Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
Mkuu Feedback hakika nakuambia timing ya Dr. Slaa kwenda Kigoma ni mbaya na kama nyinyi ndio mmemshauri basi ushauri wenu pia ni mbaya. Mimi si mtu wa Kigoma ila nafahamu jinsi Zitto anavyokubalika Kigoma na nyinyi hilo mnalifahamu kabisa. Sasa mnamvua vyeo halafu mwende kuwaambia watu wa Kigoma kwamba mwanenu mshenzi tumemvua vyeo vyote kwenye chama chetu na tunataka kumfukuza? Siamini kama wanakigoma watawaelewa. Busara inaonyesha kwamba Dr. Slaa angesubiri vumbi litulie ndio aende huko. Kwa sasa ni kama kwenda tu kuwadhihaki wana Kigoma na matokeo yake ndio hayo. Tuvumilie tu
Anadhani Waha ni misukule! Basi ajue hakuna watu wabishi na wanaojua kulipa kisasi kama waha! Atakoma kulinga! Shida sio kuimarisha chama,bali kumalizia hela za ruzuku kwa kujilipa night za safari na mambo kibaao ili hesabo ipigwe dabo! Wakilamba ruzuku na hapo hapo deni la safari ya Kigoma linafanywa mara 2 au 3 ! Hao ndio wanye saccos ya Chadema!
Last edited by a moderator: