Maandamano maandamano maandamano kupinga unyanyasaji wa polisi nchi nzima

sure humu ndani watu wengi ni wanatabia ya kunguru
Ingekuwa arusha yangepata mwitikio wa nguvu......dar huwa wanatuangusha sana afu mie inaniuma sana kwa nini hawaoni umuhimu wa kumwondoa JK ......misri, tunisia na kwingineko wameweza wana nini na sisi tunashindwa tuna nini?......yaani inabidi ifike mahali watu waachane na keyboard zao wafanye kwa vitendo......kukesha jf na kulalamika peke yake hakumnyimi JK usingizi......shime watanzania wakati wa kuamka ni sasa.....leo ni Dr. Ulimboka , kesho waweza kuwa wewe au nduguyo wa karibu!.....walaaniwe wote waliomtenda huyu baba kwasababu tu anadai haki yake!
 
Dhima kuu ni ipi? (madaktari au)
na kama ni madaktari vipi kuhusu kauli ya serikali hapo kesho hatuisubili?
na kama ni udhaifu wa serikari je sisi majumbani kwetu tu jasiri?
Jamani msiwapeleke watu kufanya wasichokijua.Ebu tutumie vyombo vya habari kuutangazia umma juu ya hili nafikiri itakuwa busara sana ili watanzania wote wafahamu isije ikaonekana ni kundi fulani la wahuni lilonataka kuipindua nchi.
 
Mtoto akililia wembe.........jamani bora kuwa maskini wa vitu lakini tajiri wa roho (uzima).tanzania inatamaniwa sana na wenzetu hivyo njia moja ndogo tu ikipatikana kuivuruga amani kamwe haitolejea
wengi tutakufa na wengine kuwa wakimbizi nchi jirani. Na nchi yetu badala ya kuwa shamba la bibi itakuwa shamba la mwendawazimu.please nsiende kuandamana kama kuna ajenda nzuri ebu ipelekeni panapohusika.
 
Andamaneni tu, ankol aagize FFU, Kufanya editing..
Tanzania, inaboa sana!
 
Wananchi wenzangu kudai haki ni jadi yetu kesho fika bila kukosa nyuma ya chuo cha ustawi wa jamii kulaani kupigwa kwa dr ulimboka serikali ijue tuna umoja.
 
Tuambieni kwanza yale maigizo ya Salender Bridge yameleta faida gani?
 
Sitaki niamini kama hii thread imeungwa mkono watu kupenda yatokee ya huko Syria kufanya maandamano. Ningependa sheria ichukue mkondo wake kwa yeyote aliyehusika kwa udhalimu dhidi ya Dr. Ulimboka, lakini siungi mkono maandamano. Maandamano sio njia stahili ya kutafuta haki.
 
Maandamano kwa Dar es Salaam yataanzia karibu kituo cha Haki za binadamu nyuma ya chuo cha ustawi wa jamii kesho saa tatu asubuhi mwambie na mwenzako kama yaliyowapata wapigania haki wengine yanakugusa tafadhali fika bila kukosa na huu ni mwanzo wa kuiambia serikali hakika tunaweza kuwaadabisha.

wacha kuleta propaganda za waarabu na masultani . Mnataka hii nchi kuirudisha kwa masultani kwa kuanzisha hizi chokochoko ??? Mjue serikali iko macho na kupambana na mamluki wa kiarabu
 
Sitaki niamini kama hii thread imeungwa mkono watu kupenda yatokee ya huko Syria kufanya maandamano. Ningependa sheria ichukue mkondo wake kwa yeyote aliyehusika kwa udhalimu dhidi ya Dr. Ulimboka, lakini siungi mkono maandamano. Maandamano sio njia stahili ya kutafuta haki.
Serikali ijishtaki yenyewe kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Kwi!
 
Back
Top Bottom