Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,450
Wadau napendekeza maandamano kote nchini kwa wale wanaokubaliana na kauli ya makamu wa Rais kuwa watoto hawapaswi kuhukumiwa kwa kubakwa bali wale waliofanya unyama huo!
Tumuunge mkono kwa kutaka watoto hawa wapewe nafasi ya kupata elimu!Maneno hayo aliongea kwa uchungu mkubwa kama umemsikia hapo juu kwenye video!
Haya yatakuwa maandamano ya amani ya kumuunga mkono so tuna imani hatutapata usumbufu wowote!
Karibuni wadau tujadili namna ya kufanya maandamani haya!Akina mama tunawategemea sana kujitokeza!