Maandamano kumuunga mkono Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu

Waziri kivuli

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
2,987
3,450


Wadau napendekeza maandamano kote nchini kwa wale wanaokubaliana na kauli ya makamu wa Rais kuwa watoto hawapaswi kuhukumiwa kwa kubakwa bali wale waliofanya unyama huo!
Tumuunge mkono kwa kutaka watoto hawa wapewe nafasi ya kupata elimu!Maneno hayo aliongea kwa uchungu mkubwa kama umemsikia hapo juu kwenye video!

Haya yatakuwa maandamano ya amani ya kumuunga mkono so tuna imani hatutapata usumbufu wowote!
Karibuni wadau tujadili namna ya kufanya maandamani haya!Akina mama tunawategemea sana kujitokeza!
 
Halafu iweje, itifaki ya nchi imetamka no, hata azimio la arusha, kambona alikimbia nchi, usilete uchonganishi, mama Samia alitoa maoni yake haikuwa agizo au sheria
 
Naunga mkono hoja,vijana wa Lumumba watatokwa namapovu hapa mpaka utashangaa
 
Back
Top Bottom