Wadau napendekeza maandamano kote nchini kwa wale wanaokubaliana na kauli ya makamu wa Rais kuwa watoto hawapaswi kuhukumiwa kwa kubakwa bali wale waliofanya unyama huo!
Tumuunge mkono kwa kutaka watoto hawa wapewe nafasi ya kupata elimu!Maneno hayo aliongea kwa uchungu mkubwa kama umemsikia hapo juu kwenye video!
Haya yatakuwa maandamano ya amani ya kumuunga mkono so tuna imani hatutapata usumbufu wowote!
Karibuni wadau tujadili namna ya kufanya maandamani haya!Akina mama tunawategemea sana kujitokeza!
Jamani,kwani huyu mama naye si serikaliMtapigwa tuuu!!
Jaribuni mwone cha moto. Sasa hivi wanaoruhusiwa ni wale wanaoshabikia ugoro!!
Ujinga upi?Utakamatwa kwa ujinga wako
Wewe jipe Moyo tuNdio,well itabidi ulishawishi jopo la madaktari sababu za wewe kuamua kukata mguu!Pia kukata mguu wa mtu sio kitu kidogo kama unavyofikiria!Wewe utakuwa fundi makanika ila unajaribu kuleta figisu
Kibali hicho nani atakupa?
Wacha uchochezi
Ukiwa na kibango chako cha "sizonje miaka mia, utawale milele" unaandamana hata kwenye barabara za mwendo kasi!Maandamano yanayoruhusiwa nchi hii bila hata kibali cha polisi ni ya kumsifu mkulu tu
Ilani ya CCM inasemaje khs wanafunzi waliopata mimba?Halafu iweje, itifaki ya nchi imetamka no, hata azimio la arusha, kambona alikimbia nchi, usilete uchonganishi, mama Samia alitoa maoni yake haikuwa agizo au sheria
Wadau napendekeza maandamano kote nchini kwa wale wanaokubaliana na kauli ya makamu wa Rais kuwa watoto hawapaswi kuhukumiwa kwa kubakwa bali wale waliofanya unyama huo!
Tumuunge mkono kwa kutaka watoto hawa wapewe nafasi ya kupata elimu!Maneno hayo aliongea kwa uchungu mkubwa kama umemsikia hapo juu kwenye video!
Haya yatakuwa maandamano ya amani ya kumuunga mkono so tuna imani hatutapata usumbufu wowote!
Karibuni wadau tujadili namna ya kufanya maandamani haya!Akina mama tunawategemea sana kujitokeza!