Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,450
- Thread starter
- #21
Hahahahaa,nilitegemea hiloNaunga mkono hoja,vijana wa Lumumba watatokwa namapovu hapa mpaka utashangaa
Hahahahaa,nilitegemea hiloNaunga mkono hoja,vijana wa Lumumba watatokwa namapovu hapa mpaka utashangaa
Kama katiba ndio inasema uandamane kwa kila kitu basi endelea kuandamana.Hujajibu swali,jibu swali la msingi kwanza!
Halafu umeita kosa kwa mujibu wa nani?As long as i know,ni haki ambayo imetolewa na katiba!
Kila kitu kama nini na nini?Tuseme mwaka huu,umesikia maandamano mara ngapi kwenye masikio yako??Kweli hii level ya FB imeingia JF,huwezi kujenga hoja!Kama katiba ndio inasema uandamane kwa kila kitu basi endelea kuandamana.
Ya mkulu siyo maoni ni agizo...!!Halafu iweje, itifaki ya nchi imetamka no, hata azimio la arusha, kambona alikimbia nchi, usilete uchonganishi, mama Samia alitoa maoni yake haikuwa agizo au sheria
Mm sina nia mbaya ila nilikuwa nataka nikuokolee muda wako.Kila kitu kama nini na nini?Tuseme mwaka huu,umesikia maandamano mara ngapi kwenye masikio yako??Kweli hii level ya FB imeingia JF,huwezi kujenga hoja!
Katiba imetoa haki ya maandamano,haijalishi yanakupendeza wewe au hayakupendezi!Siku yakikugusa andamana,kama hayakuhusu wala kukupendeza kaa kando waache wenye ngoma waicheze!
Wala usijisumbue,pengine tungekuwa tunajuana,ungeweza ona kwamba wewe ndio ulipaswa uokoe muda wako badala ya kudhani unaniokolea muda mimi!Mm sina nia mbaya ila nilikuwa nataka nikuokolee muda wako.
Ila kwasababu umeniona mm nina akili ndogo kama ya fb basi sawa.
Ila watoto wako ipo siku watakuja kukuuliza maswali magumu sana na utashindwa kuyajibu.
Si tuliambiwa maandamano kuunga mkono haina shida?Shida ni kama unaandamana kukosoa!maandamano mema ila wakitegua sipoko tujuzane pia!
Nadhani walimaanisha kumuunga mkono mukulu tuSi tuliambiwa maandamano kuunga mkono haina shida?Shida ni kama unaandamana kukosoa!
Ndioo,tutaorganise pakuanzia na kumalizia!Naunga mkono hoja huyu makamu wetu wa Raisi ni jembe anauchungu na watoto wetu anataka haki ya elimu hata kwa wale wenye madoa maandamano ni muhimu sana
Hapo kichwa kinauma!Hata sielewi vileNadhani walimaanisha kumuunga mkono mukulu tu
Mimi napendekeza maandamano ya kumsifu Bashite kwa kung'oa bango la Wanyama street.
Hayakuwa maoni yake, hapa tusijaribu kuficha ugonjwa (in Nyerere's voice). Alichokuwa anafanya Mama Samia ni utekelezaji wa Ilani ya CCM iliyoahidi wakati ikimwombea kura Magufuli 2015. Tusiwe washangiliaji wa kila kitu!Halafu iweje, itifaki ya nchi imetamka no, hata azimio la arusha, kambona alikimbia nchi, usilete uchonganishi, mama Samia alitoa maoni yake haikuwa agizo au sheria
Kwani wanaoandama kutwa ajili ya makanikia wanafanya kazi saa ngapi?Mkisha anza hivyo inamaana kila kauli atayo itoa muheshimiwa mtakuwa mnaifanyia maandano.
Na je kazi mtakuwa mnafanya saa ngapi?
Kweli kabisa,mama alikuwa kwenye utekelezaji wa ilani!Hayakuwa maoni yake, hapa tusijaribu kuficha ugonjwa (in Nyerere's voice). Alichokuwa anafanya Mama Samia ni utekelezaji wa Ilani ya CCM iliyoahidi wakati ikimwombea kura Magufuli 2015. Tusiwe washangiliaji wa kila kitu!
Ndio,well itabidi ulishawishi jopo la madaktari sababu za wewe kuamua kukata mguu!Pia kukata mguu wa mtu sio kitu kidogo kama unavyofikiria!Wewe utakuwa fundi makanika ila unajaribu kuleta figisuNyie andamaneni mkija hospital baada ya kuvunjwa miguu sie in kukata hakuna kuremba
Wadau napendekeza maandamano kote nchini kwa wale wanaokubaliana na kauli ya makamu wa Rais kuwa watoto hawapaswi kuhukumiwa kwa kubakwa bali wale waliofanya unyama huo!
Tumuunge mkono kwa kutaka watoto hawa wapewe nafasi ya kupata elimu!Maneno hayo aliongea kwa uchungu mkubwa kama umemsikia hapo juu kwenye video!
Haya yatakuwa maandamano ya amani ya kumuunga mkono so tuna imani hatutapata usumbufu wowote!
Karibuni wadau tujadili namna ya kufanya maandamani haya!Akina mama tunawategemea sana kujitokeza!