Mzee Uchwara
Senior Member
- Oct 28, 2013
- 119
- 35
Kamati ya bunge ya ulinzi na usalama imeitaka serikari kutunga sheria ya kudhibiti maandamano yasiyo na tija. Ni kweli lazima kudhibiti maandamano,kwa sababu sasa hivi mbunge analeta fujo bungeni akidhibitiwa na wanausalama anasema ataandaa maandamanao, kila kukicha maandamano. Safi sana kamati.