MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,750
- 48,391
- Thread starter
- #21
Kwahio hawatak kuvaa tena hijabu au
Maana sielewi
Mashia wana matatizo sana kama wayahudi na manaswara
Hawataki kupangiwa jinsi ya kuishi, mambo dini hayapaswi kulazimishana bali inapaswa kushawishana.
Unamuua mwanamke kisa kijisehemu cha nywele zake kimeonekana utadhani wao ndio walimuumba.