Maandamano hufanikiwa zaidi siku ya ijumaa kuanzia Alasiri

NGULI

JF-Expert Member
Mar 31, 2008
4,803
637
Asalam Alekhum wana JF wote,

Nimekuwa nikijiuliza hasa kwa nchi za Misri, Iran, Tunisia etc kwa nini maandamano yanashika kasi sana siku za ijumaa baada ya Alasiri bila mafanikio ya uwelewa wa kina.

Ukiangalia maandamano yaliomng'oa Hosni Mubaraka yalishika kasi siku ya Ijumaa na huwa maandamano ya namna hii yanafanikiwa. Kidogo Iran walichemsha ila nauhakika wakirudia tena watamng'oa mtu.

Je ni kuwa Ijumaa ina baraka kuliko siku zote?
 
Asalam Alekhum wana JF wote,

Nimekuwa nikijiuliza hasa kwa nchi za Misri, Iran, Tunisia etc kwa nini maandamano yanashika kasi sana siku za ijumaa baada ya Alasiri bila mafanikio ya uwelewa wa kina.

Ukiangalia maandamano yaliomng'oa Hosni Mubaraka yalishika kasi siku ya Ijumaa na huwa maandamano ya namna hii yanafanikiwa. Kidogo Iran walichemsha ila nauhakika wakirudia tena watamng'oa mtu.

Je ni kuwa Ijumaa ina baraka kuliko siku zote?
hapo kwenye red unataka kumaanisha kuwa mungu wa waarab ndio bora kuliko miungu wengine?
 
hata maandamano ya mwembe chai znz yalifanyika ijumaa , kinachoshangaza ni kwamba hao watu wanaoandamana ijumaa ni rahisi sana kuwakusanya na wengi wanaongozwa na jazba
 
hata maandamano ya mwembe chai znz yalifanyika ijumaa , kinachoshangaza ni kwamba hao watu wanaoandamana ijumaa ni rahisi sana kuwakusanya na wengi wanaongozwa na jazba

Wakishatiwa munkari na wahadhiri wao kwenye ibada zao akili zote zinahama; kwao hata kumwaga damu ni jambo la kawaida tena kwa upuuzi mdogo tu kama kwenda peponi, n.k. Sio Misri, Iran, na sehemu nyingine za Uarabuni tu, hata hapa Tz. Fuatilia kwa makini, kila wanapofanya maandamano ni siku ya Ijumaa. Kwa mfano, waliwahi kuandamana kumuunga mkono Osama, kulaani katuni fulani iliwahi kutokea magazeni Ulaya, n.k. - ilkuwa Ijumaa.

Siku zote huwa nasema, siku hawa jamaa watakapojua kutofautisha DINI na SIASA ndipo ukombozi wa kweli hasa hapa nchini utakapopatikana. Haiwezekani, kwa mfano Sheikh Mkuu atamke hadharani kupinga maandamano ya chama cha siasa kinachotetea maslahi ya wananchi wote bila kujali dini lakini wakati maslahi yao ya kidini-siasa yanapoguswa (kwa sababu za msingi kabisa) wajifanye kutaka kuandamana. Na wala haihitaji unabii kulijua hili kwamba wakiamua kuandamana itakuwa siku gani!
 
Asalam Alekhum wana JF wote,

Nimekuwa nikijiuliza hasa kwa nchi za Misri, Iran, Tunisia etc kwa nini maandamano yanashika kasi sana siku za ijumaa baada ya Alasiri bila mafanikio ya uwelewa wa kina.

Ukiangalia maandamano yaliomng'oa Hosni Mubaraka yalishika kasi siku ya Ijumaa na huwa maandamano ya namna hii yanafanikiwa. Kidogo Iran walichemsha ila nauhakika wakirudia tena watamng'oa mtu.

Je ni kuwa Ijumaa ina baraka kuliko siku zote?
Ijumaa hii alasiri fanyeni maandamano ya kupinga hotuba ya JK aliyoitoa siku ya Eid alafu ndo ulete tena hii mada hapa.
 
Wakishatiwa munkari na wahadhiri wao kwenye ibada zao akili zote zinahama; kwao hata kumwaga damu ni jambo la kawaida tena kwa upuuzi mdogo tu kama kwenda peponi, n.k. Sio Misri, Iran, na sehemu nyingine za Uarabuni tu, hata hapa Tz. Fuatilia kwa makini, kila wanapofanya maandamano ni siku ya Ijumaa. Kwa mfano, waliwahi kuandamana kumuunga mkono Osama, kulaani katuni fulani iliwahi kutokea magazeni Ulaya, n.k. - ilkuwa Ijumaa.

Siku zote huwa nasema, siku hawa jamaa watakapojua kutofautisha DINI na SIASA ndipo ukombozi wa kweli hasa hapa nchini utakapopatikana. Haiwezekani, kwa mfano Sheikh Mkuu atamke hadharani kupinga maandamano ya chama cha siasa kinachotetea maslahi ya wananchi wote bila kujali dini lakini wakati maslahi yao ya kidini-siasa yanapoguswa (kwa sababu za msingi kabisa) wajifanye kutaka kuandamana. Na wala haihitaji unabii kulijua hili kwamba wakiamua kuandamana itakuwa siku gani!
Huyu jamaa hajui maandamano, nadhani anazungumzia matembezi ya jazba.
 
Hii post ihamishiwe jukwaa la dini, hapa itachafua hali ya hewa tu
 
Asalam Alekhum wana JF wote,

Nimekuwa nikijiuliza hasa kwa nchi za Misri, Iran, Tunisia etc kwa nini maandamano yanashika kasi sana siku za ijumaa baada ya Alasiri bila mafanikio ya uwelewa wa kina.

Ukiangalia maandamano yaliomng'oa Hosni Mubaraka yalishika kasi siku ya Ijumaa na huwa maandamano ya namna hii yanafanikiwa. Kidogo Iran walichemsha ila nauhakika wakirudia tena watamng'oa mtu.

Je ni kuwa Ijumaa ina baraka kuliko siku zote?

Mkuu nguli hizi baraka unaziulizia kwa upande gani maana maandamano yana pande 2 waandamanaji na pili ni serekali imbayo inaweza pia kuwa supported na baadhi ya watu....
 
Back
Top Bottom