Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Ametumwa na kikwete na mwema nayule mwenye jicho la chura kuwa njia rahisi waende kwa yule nchimbi wataachiwa.full stop.hi mbegu ya udini iliypandwa na ccm wanavuna sasa
teh eti mwenye jicho kama chura, yuko wapi siku hizi? Tangia atangaze kumkamata yule mkenya aliyeenda kuungama kwa gwajima sijamsikia tena