ukawa hao
Kuchona moto majengo ya bunge ni ujuha kwa sababu kinachotakiwa bungeni ni hoja sio vioja
is this the way to show their discontent? was there no other way to voice it up? nani atapata hasara baada ya hili? sio kodi zao wenyewe?
Kuchona moto majengo ya bunge ni ujuha kwa sababu kinachotakiwa bungeni ni hoja sio vioja
Kuchona moto majengo ya bunge ni ujuha kwa sababu kinachotakiwa bungeni ni hoja sio vioja
Mi ndo maana najiuliza hawa wanaolipua makanisa,kwanini wasingeliteketeza lile bunge la katiba na wajumbe wake?
nyie hamuwezi kufanya hivi coz mtakuwa busy kuchezea na zawadi zenu za smartphone kutoka Vietnam.duh hao ni noma
Protesters angry at plans to allow Burkina Faso's President Blaise Compaore to extend his 27-year-rule have set fire to parliament.
hata hivyo ukawa waliyotoka pamoja na taasisi zao walijitahidi kulifanyia hujuma mbaya sana bunge lakini ulinzi ulikuwa imara sana wakashindwa wakabakiwa kubwabwaja