Maandamano dhidi ya Sofia Kawawa Zanzibar, 1988

Naikumbuka vizuri sana hili tukio; ukweli sidhani kama shida ilikua ni tamko la mama Sophia Kawawa, ukweli Wazanzibar waliitumia tu hiyo kauri kufanya maandamano ambayo yalikuwepo mioyoni mwao even kabla ya kauri ya Sophia, kauri ya Sophia ili trigger tu kilichokua ndani ya mioyo ya wale Wazanzibar; hujiulizi ni kwanini Waislamu wa Dar, Songea kwao na Sophia au sehemu zingine za pwani kama Tanga, Bagamoyo hawakuandamana? Maanake kwa maneno yako ni kwamba hasira zilichochoewa na kauri hiyo na Wazanzibari hawa (sisemi waislamu ) kuandamana, issue ni Qu ran na kitabu hicho ni cha Waislamu wote (akiwepo Sophia mwenyewe ) why only Zanzibaries and not all Islams in the country???? Ni jipu lililokua bado bichi la maandamano ya mwaka 1984, only 4 years before this.
 
Inasemekana walimsomea dua apate kufa
Sasa sijui hizo ni dua za namna gani au ulozi?!

Hapo Ndiyo huwa nachokaga kabisa na imani za watu fulani.

Kwani yeye kwa kuyasema hayo ndio kusema na Maandiko kwenye kitabu yanabadilika gafla?

Yani nawasikiaga wengine wanaongea wazi kabisa Yani kuua kwao siyo ishu wasema watatubu tu

Wanasema hata mtu kama Nabii Tito angekuwa wa kwao au ndugu yao wangeshamdunga hata sindano ya sumu afe

Sasa mimi huwa nawauliza Kwani nyie hamna dhambi?

Mbona nyie wengine wachawi mnaua watu na kuharibu maisha ya watu wengine?

Mbona nyie mmejaa fitina?

Je mnaamini Mungu anaweza kuua mtu? Wanasema ndiyo.

Sasa kwanini msimwachie Mungu aanayehemu watu wake afanye apendavyo?

Kwanini mnamsaidia Mungu?



Kuna watu ukiishi nao handle with care .
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom