Maandamano baridi na Legal and Human Rights Centre, Salender Bridge

hakuna uanaharakati Bongo!
Hizo chai tu!
MKURIA ange mgecha mkewe kidogo utawasikia wanavyochonga,
hakina TAMWA, TAWLA, TGNP!
HOVYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!
 
polisi wapo na wanatazama tu.......mi nimependa haya maandamano
 
kuna tangazo hawa watu walilitoa

[h=6]Legal and Human Rights Centre
[/h][h=6]Makubaliano: Tukutane Salander Bridge mchana huu (saa nane); tuwe na mabango ili kuishinikiza serikali kuacha kufanya mzaha na afya za watu.
Tujitokeze kwa wingi; tutakubaliana zaidi cha kufanya baada ya hapo.[/h]
 
kuna maanadamano makubwa huko dar...watu kibao wameandamana na wamekusanyika hapo salender bridge...wana mabango kibao..wakiishinikiza serikali kuingilia kati


sosi ni mwana jf aliyepo eneo la tukio kanipigia simu
Waandamane tu .....
 
kuna maanadamano makubwa huko dar...watu kibao wameandamana na wamekusanyika hapo salender bridge...wana mabango kibao..wakiishinikiza serikali kuingilia kati


sosi ni mwana jf aliyepo eneo la tukio kanipigia simu

mimi nafikiri ingekua vizuri kama wangekua wanashinikiza serikali iliyoko madarakani iachie ngazi,....kuliko kutafuta suruhu za nusu nusu....za kuzima moto.
 
ngoja ninunue dumu la maji ya uhai lt 5 nikajiunge na wenzangu.
Hii ni kujiandaa na mabomu ya sumu

Mkuu dumu utaweza kulibeba? Maji ya kuwasha hakuna wanajua wananchi wamechoshwa na drama zao
 
Nafikiri serikali ya Tanganyika isione aibu kuomba madaktari kutoka Mnazi mmoja Zanzibar kuja kuokoa jahazi wakati jitihada za suluhu zinaendelea.

Wote ni nchi moja , msione aibu kuomba kutoka znz.
 
Mkuu dumu utaweza kulibeba? Maji ya kuwasha hakuna wanajua wananchi wamechoshwa na drama zao


hakuna haja ya kubeba madumu......polisi wapo na wamesimama pemben tu wanatazama na kulinda amani
 
wengine waanzie viwanja vya mnazi mmoja wakutane wote magogoni kumkimbiza baba ritz...pumbafuuuuuuuuuuuuu
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom