Maandamano baridi na Legal and Human Rights Centre, Salender Bridge

Kuna kitengo wizara ya afya cha kupeleka wagonjwa india, kimeongezewa bajeti mwaka huu zaidi ya mara nne, nadhani kifanye kazi ya kuwapeleka wagonjwa india.
Referal zote kutoka amana, mwananyamala, tmk ziende india.
 
Soon and very soon.....!
TahrirWar1-375x250.jpg
 
Tumethubutu,tumeweza,tunazidi kusonga mbele!

Yaani ni kitu cha kushangaza sana. Mgomo unaingia wiki ya pili sasa Watanzania wanakufa huku na kule na Rais yuko kimya kabisa!!!! Duh! niliwahi kuandika hapa jamvini kwamba huyu jamaa akiachiwa kuendelea kuwepo madarakani mpaka 2015 basi ataiacha nchi katika hali mbaya sana. Naona sikukosea kabisa.
 
Mbona habari yako haieleweki wamefunga shule?hospitali?barabara?au nyumba? Kwa sababu gani,lini,wapi?kajisaidie ujisafishe vizuuuri halafu uje. Sawa mtoto mzuri eeeh!
 
Wamefunga kwasababu gani?

Nami nipo hapa kwenye maandamano ya amani, tunawasilisha ujumbe wetu kwa Serikali itatue mgogoro wake na madaktari ili kunusuru maisha ya Watanzania wasio kuwa na hatia.
 
Nami nipo hapa kwenye maandamano ya amani, tunawasilisha ujumbe wetu kwa Serikali itatue mgogoro wake na madaktari ili kunusuru maisha ya Watanzania wasio kuwa na hatia.

mtaondoka saa ngapi hapo nasi tupite kuelekea majumbani?
 
Mbona habari yako haieleweki wamefunga shule?hospitali?barabara?au nyumba? Kwa sababu gani,lini,wapi?kajisaidie ujisafishe vizuuuri halafu uje. Sawa mtoto mzuri eeeh!

Naatumia kisimu cha mchina. Kwa kifupi hapo ni makutano ya bara bara ambapo sasa hivi tumesimama kufikisha ujumbe wetu kwa Serikali. Hakuna gari kupita.
 
kuna maanadamano makubwa huko dar...watu kibao wameandamana na wamekusanyika hapo salender bridge...wana mabango kibao..wakiishinikiza serikali kuingilia kati


sosi ni mwana jf aliyepo eneo la tukio kanipigia simu
 
Wadau taarifa za ndani kutoka LRHC wananchi waliohudhuria wameamua leo saa nane mchana katika eneo la salander bridge kumtaka rais aingilie kati hali tete katika nchi yetu. Tafadhali hudhurieni umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Usiniombe picha njooo upige mwenyewe

Naona kimenuka huko makutano ya Ocen Rd na Ali H. Mwinyi, wanaharakati wakifunga barabara, na mabango yakihoji endapo nchi ina rais ama la!
 
acha longolongo wewe njoo hapa salender bridge kama unahitaji maandamano: Tupo hapa tunatarajia kuanza kusonga mbele.
unajifanya una-uchungu kumbe olaa

safi sana mkuu,.....mpaka ****** na pinda waondoke.
 
Tahrir square in the final draft!

HOOOOORAAAAAYYYYYYYYYYYYYY AT LAST!
..
 
Back
Top Bottom