nice 2
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 747
- 520
Jana usiku walisema maandamano yalikuwa yafanyike asubuhi, hatukuyaona! sasa hivi wanasema ni mchana kwa hiyo angalia usije ukatengeneza harafu likabaki nyumbani kwako likisomwa na familia yako tu!
Asubuhi walikutana ku strategise.... sasa mpango kamili ni hapo saa 8 mchana