dah my old school...itakua tu kuna jambo si sawa hapo ilboru...hawawezi andamana for nothing.
utapotea wewe...picha ndo inakupa guts kuhisi Titans ni a gal??humu jf shauri yako...if unataka kujua siri ya hiyo picha ingia kwenye link hapa chini,upende kusoma historia . http://www.greekmythology.com/Myths/Creatures/Medusa/medusa.htm Medusa - Wikipedia, the free encyclopediaNa hiyo avator yako. Dah wantia shaka na ilboru niijuavyo ni boys tu
utapotea wewe...picha ndo inakupa guts kuhisi Titans ni a gal??humu jf shauri yako...if unataka kujua siri ya hiyo picha ingia kwenye link hapa chini,upende kusoma historia . http://www.greekmythology.com/Myths/Creatures/Medusa/medusa.htm Medusa - Wikipedia, the free encyclopedia
Hivi si ni Andrew Kwayu? Au Mwingine? Kama ni Kwayu atakua amebadirika kweli?
sijui wamegomea nini ? au chui ?
haaa haaa .... nilikuwa Bweni la Hanang ... miaka ileee 92 .. onwards A-level
utapotea wewe...picha ndo inakupa guts kuhisi Titans ni a gal??humu jf shauri yako...if unataka kujua siri ya hiyo picha ingia kwenye link hapa chini,upende kusoma historia . http://www.greekmythology.com/Myths/Creatures/Medusa/medusa.htm Medusa - Wikipedia, the free encyclopedia
Hawatachelewa kusema walosababisha hayo maandamano ni CHADEMA!!!!!!
Hivi si ni Andrew Kwayu? Au Mwingine? Kama ni Kwayu atakua amebadirika kweli?
mi nasona hapa ilboru huyu mkuu anaitwa J R mutabuzi ndio chanzo cha maandamano kwani amekua akipiga wanafunzi faini kwa makosa madogo na kuendekeza rushwa kwa ujumla hatumtaki ilc naibu waziri wa tamisemi Kasim majaliwa alifika na tuka mwelezea shida zetu
sijui wamegomea nini ? au chui ?
haaa haaa .... nilikuwa Bweni la Hanang ... miaka ileee 92 .. onwards A-level
Nakumbuka miaka ya 2004-2006 kitei mara moja kwa wiki,tena ilikua jumanne,hapo wanafunzi tranter n university physix hazpandi tena wakisubiri kitei afu ukute mbichi kiaina,