Maandalizi yanaendelea, wanaodhani Korea Kaskazini atapona waendelee na udhanifu wao

Mm korea inanisaidia nn marekani inasaidia Tanzania naomba korea ifutwe kabisa kwenye uso wa dunia
Ndiyo nature ya mawazo yako na kizazi chenu kwa ujumla! As long as umepewa ubwabwa na kushiba uko radhi kuuuza utu wako na utashi wako. Haya ndiyo yanatugharimu Tanzania hadi Leo ,ukipewa kanga na kofia unasahau dhiki zote mlizopata kwa miaka mitano.
# Anyway, US wawaletee na misaada ya ngoma ili muendelee kucheza vigodoro.
 
Project kubwa zaidi ya Trump nje ya US kwa sasa ni suala la NK. Kiduku anatoka apende asipende. NK inaenda kupata utawala na serikali mpya ya kidemokrasi kwa maana ya neno lenyewe na sio demokrasia za maigizo.
Kwa hiyo unaamini demokrasia iliyopo kwenye baadhi ya regime huko Asia ni genuine.......??, South Korea ynyw haina complete demokrasi, itakuwa N.K.............??
 
Mm korea inanisaidia nn marekani inasaidia Tanzania naomba korea ifutwe kabisa kwenye uso wa dunia
Hizi akili shida tupu... Marekani hatoi hela yake mfukoni.... Hizo hela zinaibiwa ndani ya nchi yenu inakuja kurudishwa kwa njia ya misaada

Ukiona unapewa misaada ujue wamesha kuibia vya kutosha

Hizi akili za waafrica sijui zipoje.... Kweli nimeamini vichwa vyenu vimelongwa
 
Huyo mnyama USS Michigan Nuclear powered submarine anauwezo wa kubeba 154 Tomahawk cruise missiles and 60 special Operation troops & min-subs.
US president Donald Trump said earlier this month in a TV interview he was sending an 'armada' and that the US had submarines which are very powerful far more powerful than the aircraft carrier.[Source BBC]
Sasa naona US ameshamaliza kupeleka zana zinazohitajika kumchapa kiduku akiungana na Japan baada ya wao pia kupeleka aircraft carrier juzi.
Kilichobaki ni kushauriana na Senate hapo kesho kuomba kuungwa mkono,wamalize hii vita baridi ya miaka mingi
 
Hakuna vita hapo China kamwambia Usa hili suala la N Korea siyo la kukurupuka bila kujadiliwa na Un Trump kabaki kulia akihimiza umoja wa mataifa yazidishe mbinyo wa vikwazo vya kiuchumi kwa N korea kitu ambacho N korea alishazoea ni nusu karne sasa tangu atengwe na Dunia
 
Huyo mnyama USS Michigan Nuclear powered submarine anauwezo wa kubeba 154 Tomahawk cruise missiles and 60 special Operation troops & min-subs.
US president Donald Trump said earlier this month in a TV interview he was sending an 'armada' and that the US had submarines which are very powerful far more powerful than the aircraft carrier.[Source BBC]
Sasa naona US ameshamaliza kupeleka zana zinazohitajika kumchapa kiduku akiungana na Japan baada ya wao pia kupeleka aircraft carrier juzi.
Kilichobaki ni kushauriana na Senate hapo kesho kuomba kuungwa mkono,wamalize hii vita baridi ya miaka mingi
Huyo mbona Bashite tu, kuna kitu kinaitwa Ohio kinabeba makombora 24 ya nuclear (Trident missiles) na kila kombora linabeba vichwa 8-12 vya nuclear. Huyo akitumwa mchezo kwishney.
Na jana Waziri mkuu wa UK kasema atatumia nyuklia km ataona wapo kwenye tishio. Ngoja tusubiri hii movie japo nishaichoka.
 
Kuna watu humu wanaweka silaha za kivita atakazo tumia Marekani ila sijaona wakiweka na silaha atakazo tumia N.Korea...... Hapo ndiyo kinacho iumiza kichwa Marekani na ndiyo maana China kamshauri trump asiingie kichwa kichwa N.Korea.....
 
Kuna watu humu wanaweka silaha za kivita atakazo tumia Marekani ila sijaona wakiweka na silaha atakazo tumia N.Korea...... Hapo ndiyo kinacho iumiza kichwa Marekani na ndiyo maana China kamshauri trump asiingie kichwa kichwa N.Korea.....
Unataka aweke zipi wakati alishazifanyia exhibition wiki moja nyuma na kasema atatumia nuclear marekani ikimshambulia.?
 
Kunaendelea kukucha sasa maseneta wote wameitwa white house kujiandaa na Korea

The entire U.S. Senate has been invited to the White House for a briefing Wednesday on the North Korea situation, amid escalating tensions over the country’s missile tests and bellicose rhetoric.

The USS Michigan, a nuclear powered Ohio class submarine will pull into the South Korean port of Busan for a hull check in the coming hours, military sources confirmed Monday to Fox News

The Ohio class submarine will later join the USS Vinson aircraft carrier strike group for exercises in the Sea of Japan.

Dude lingine limewasili

9ef124a89aa37bc4ac0a9d0554bbf3ee.jpg


bf6227104868f470e1aa7ade4dd44541.jpg

Source: Fox news

The Latest: Chinese media warn N. Korea against nuke test
  • By THE ASSOCIATED PRESS
PYONGYANG, North Korea — Apr 25, 2017, 12:35 AM ET
WireAP_d24638313a614dd0a2b7e9c795bf35cd_12x5_1600.jpg
The Associated Press
The nuclear-powered submarine USS Michigan approaches to join the U.S. aircraft carrier USS Carl Vinson in drills near the Korean Peninsula, at Busan port in Busan, South Korea, Tuesday, April 25, 2017. North Korea marks the founding anniversary of its military on Tuesday, and South Korea and its allies are bracing for the possibility that it could conduct another nuclear test or launch an intercontinental ballistic missile for the first time.

A ruling Chinese Communist Party newspaper is warning North Korea against conducting another nuclear test, saying that would likely propel events past the "point of no return."

In an editorial Tuesday, the Global Times says the previous day's phone conversation between Presidents Donald Trump and Xi Jinping of China showed the two countries were in close communication over the tensions.

It says China hopes for a peaceful outcome, but that Beijing has "very limited influence on the entire situation."

It says: "The game of chicken between Washington and Pyongyang has come to a breaking point." The paper is known for its often stridently nationalistic views.

It says if North Korea carries out a sixth nuclear test as expected, "it is more likely than ever that the situation will cross the point of no return. All stakeholders will bear the consequences, with Pyongyang sure to suffer the greatest losses."

As a traditional ally and North Korea's chief source of trade, food and fuel aid, China has come under intense pressure to use its influence to dissuade Pyongyang from additional nuclear tests and missile launches.

However, Beijing is intensely wary of any measures that might cause the collapse of North Korean leader Kim Jong Un's hard-line communist regime, fearing that could lead to a wave of refugees and a Pyongyang government beholden to Washington and Seoul.
 
Back
Top Bottom