Maandalizi ya nini haya?

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,605
696,697
1468325140746.jpg
 
Mimi si mganga wa kienyeji lakini naweza bashiri; Nyumba hiyo hapo kuna msichana naye yupo form 4 mwaka huu. Hivyo, amewekewa mwalim kijana wa kiume awe akija kumfundisha maths kila siku jioni. Kwa sababu ya kelele za mamake ameamua kwenda kukaa huko pembezoni mwa nyumba ili hesabu iingie vizuri bila kusumbuliwa.
 
Mimi si mganga wa kienyeji lakini naweza bashiri; Nyumba hiyo hapo kuna msichana naye yupo form 4 mwaka huu. Hivyo, amewekewa mwalim kijana wa kiume awe akija kumfundisha maths kila siku jioni. Kwa sababu ya kelele za mamake ameamua kwenda kukaa huko pembezoni mwa nyumba ili hesabu iingie vizuri bila kusumbuliwa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom