ESCORT 1
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 1,267
- 2,519
Katika kile kinachoonekana ni maandalizi ya kuanzishwa na kutangazwa kwa mkoa mpya wa Chato, Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa wamekubali kuhamia mkoa wa Geita.
Wananchi wa Buchosa wamekuwa wakisafiri umbali mrefu kufuata huduma Mwanza wakati wapo karibu na mkoa wa Geita.
Inasadikika chini ya kapeti, Tarehe 14/10/2021 siku ya Nyerere na kilele cha mbio za mwenge kitaifa, mkoa mpya wa Chato utatangazwa!
Wananchi wa Buchosa wamekuwa wakisafiri umbali mrefu kufuata huduma Mwanza wakati wapo karibu na mkoa wa Geita.
Inasadikika chini ya kapeti, Tarehe 14/10/2021 siku ya Nyerere na kilele cha mbio za mwenge kitaifa, mkoa mpya wa Chato utatangazwa!