Watanzania wengi wapo gizani, hawaelewi mambo yote yanayoendelea.
Watanzania wengi hawaelewi kwa sababu hawana muda wa kufikiri, kujadili na kupata habari za ufedhuli wa Xicmm.
Wananchi wapo na mawazo ya shida, na wanaamka mapema kukimbilia kwenye shughuli za kujipatia angalao mlo mmoja.
Sio watanzania wote wanaweza kupata gazeti au kusoma hapa JF.
Nasema watanzania wengi wamefungiwa katika mtungi na hawaelewi kutokana na mfumo wa maisha.
Kitu ambacho kimesaidia kuongeza uelewa wa wananchi ni mikutano na maandamano ya CDM.
Sasa nashauri hivi, tuanze na kutoa habari na elimu kwa wananchi.
Kuandaaa vipeperushi na kuvisambaza nchi nzima. Wanaharakati kama LHCR na NGOs watusaidie
Pia vyama vya siasa visaidie hili.
Wananchi wakishaelimika, inakuwa raisi kuanzisha maandamano maana wananchi wataelewa maana ya maandamano na faida zake.
Sasa hivi serikali ya Xicm imewapuuza wananchi sana na hata kujiongezea posho na kuwanyima madokta na waalimu mishahara
Watanzania wengi hawaelewi kwa sababu hawana muda wa kufikiri, kujadili na kupata habari za ufedhuli wa Xicmm.
Wananchi wapo na mawazo ya shida, na wanaamka mapema kukimbilia kwenye shughuli za kujipatia angalao mlo mmoja.
Sio watanzania wote wanaweza kupata gazeti au kusoma hapa JF.
Nasema watanzania wengi wamefungiwa katika mtungi na hawaelewi kutokana na mfumo wa maisha.
Kitu ambacho kimesaidia kuongeza uelewa wa wananchi ni mikutano na maandamano ya CDM.
Sasa nashauri hivi, tuanze na kutoa habari na elimu kwa wananchi.
Kuandaaa vipeperushi na kuvisambaza nchi nzima. Wanaharakati kama LHCR na NGOs watusaidie
Pia vyama vya siasa visaidie hili.
Wananchi wakishaelimika, inakuwa raisi kuanzisha maandamano maana wananchi wataelewa maana ya maandamano na faida zake.
Sasa hivi serikali ya Xicm imewapuuza wananchi sana na hata kujiongezea posho na kuwanyima madokta na waalimu mishahara