6321
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 649
- 1,116
Nawasalimu kwa jina la Mwigulu Nchemba, naomba ujibu Tozo ziendelee.
Ndugu zangu wana JF kama mnavyojua tozo zilivyojuu haswa ile ya kutolea, karibu kwenye uzi huu tusaidiane kujua tamaduni za kirundi na majina yao ili kila mmoja awe na prior information kuhusu nchi ya Burundi
Karibuni sana tujuzane kuhusu Warundi.
Ni mimi ndugu yenu "Ntibanzotozo"
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Ndugu zangu wana JF kama mnavyojua tozo zilivyojuu haswa ile ya kutolea, karibu kwenye uzi huu tusaidiane kujua tamaduni za kirundi na majina yao ili kila mmoja awe na prior information kuhusu nchi ya Burundi
Karibuni sana tujuzane kuhusu Warundi.
Ni mimi ndugu yenu "Ntibanzotozo"
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app