SenBoy
Member
- Sep 7, 2011
- 38
- 40
Niko Mza hapa, tunaishi mtaa mmoja na diwani wa Kitangiri. Nyumbani kwake kuna kundi kubwa mno la vijana pamoja na magari lukuki na Coaster ya kukodi ya Mukesh. Nilipouliza kuna nini, nikaambiwa ni vijana maalum ambao wameandaliwa kwenda kusimamia upigaji wa kura Igunga. Muda si mrefu wataanza safari.
Kilichonifurahisha, nimeambiwa wamepewa maneno mazuri sana na wamesisitizwa sana kutojihusisha na vurugu zozote zile. Ila wameambiwa waripoti matukio yoyote yale kwa ufasaha. CDM mliopo Mza na mnaosoma ujumbe huu wajuzeni ndugu zetu zaidi.
Kilichonifurahisha, nimeambiwa wamepewa maneno mazuri sana na wamesisitizwa sana kutojihusisha na vurugu zozote zile. Ila wameambiwa waripoti matukio yoyote yale kwa ufasaha. CDM mliopo Mza na mnaosoma ujumbe huu wajuzeni ndugu zetu zaidi.