Muanze na kuwasunda mawakala, wakala atakeuza utu wake ni hatari sana kwa jamii,mnaweza mkaona msimamizi ndio tatizo lakini hawa mawakala hasa wa upande wa Tanganganyika hurahisika zaidi kupokea donge nono, kisha siku ya uchaguzi anasepa au anajiteka, mjue CCM moja ya mipango yao ni kuwanunua hawa watumike kupika matokeo maana CCM wana mikakati miovu sana.
Hatua muhimu ni kudhibiti matokeo ya kura katika vituo na udhibiti ni pale kamanda aliekabidhiwa kuhakikisha kila kitu kimefika kwa wakati na hababaishwi na hongo na yupo in high alert.
Hatua muhimu ni kudhibiti matokeo ya kura katika vituo na udhibiti ni pale kamanda aliekabidhiwa kuhakikisha kila kitu kimefika kwa wakati na hababaishwi na hongo na yupo in high alert.