Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 997
Sasa toka lini mshindwa kama nyie ufipani na akina trampu mkakubali kugaragazwaaa?? Kila mshindwa lazima asikubali kugaragazwaaa. Trumpu amelazimishaaa mwishowe mshindi akatangazwaa na tayariii mshindi kasha apishwaaaa.Magufuli hajawahi kushinda kwa kura zaidi ya figisu, na sio kuwa hajawahi kushinda, bali hatakaa ashinde kwa uchaguzi wowote kihalali.