Maana yake niini? Tumewachoka jamani; mabendera ; maprado ; maapolisi; acheni mbwembwe fanyeni kazi

sir.JAPHET

JF-Expert Member
May 18, 2012
699
133
[h=3]
[/h]

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala wa Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI,) Aggrey Mwanri akihutubia, kwenye mkutano wa CCM uliofanyika, jana , Julai 22, 2012, kwenye Uwanja wa Community Centre, Mwanga mjini Kigoma.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akihutubia, kwenye mkutano wa CCM uliofanyika, jana , Julai 22, 2012, kwenye Uwanja wa Community Centre, Mwanga mjini Kigoma.
Waziri wa Nchi Ofsi ya Rais, Mahusiano, Steven Wasira akihutubia kwenye mkutano wa CCM uliofanyika, jana , Julai 22, 2012, kwenye Uwanja wa Community Centre, Mwanga mjini Kigoma.
Mamia ya wananchi waliofurika kwenye mkutano wa CCM katika Uwanja wa Community Centre, Mwanga mkoani Kigoma

Wazee kwenye mkutano wa CCM, Uwanjwa wa Community Cetre Mwanga Kigoma

Viongozi mbalimbali wa CCM waliohudhuria katika mkutano huo.
You might also like:
 
haha haya matukio ndio muafaka kwa wapiga picture za propaganda na wasoma picture kushindana.Ni kawaida sana kwa siu hizi mpiga picture wenye kauwezo kidogo na hisia za chama husika kupeleka ujumbe wa uongo kwa camera yake.Chama ukipendacho unakijengea Taswira,ukichukiacho unakiharibia haiba.Na wasoma picture wanapambana kutafsiri.
 
Back
Top Bottom