Maana ya Ushindi wa CCM Igunga kuelekea Chaguzi nyingine zijazo

Nakushauri ukafanye kozi ya " critical thinking" and other soft skill courses zitakusaidia.

Umeongea vizuri lakini mshindi ni mshindi hata kwa kura moja tu still ameshinda, jaribuni tena baadae. Katika analysis zako ulisahau kuwa magwanda walikuwa hawakuweka mgombea kabla ya miezi 11.

Nnawapa pongezi sana magwanda kwa kujitahidi, na nnawapa pongezi sana CCM kwa ushindi. Wote watazame matokeo na wajifunze kwa hayo matokeo ili chaguzi zingine ziwe na changamoto zaidi.

Naamini kuwa Serikali yoyote hufanya vyema zaidi pale kwenye upinzani mzuri zaidi, kwani wakiteleza tu, upinzani unachukuwa madaraka.

Hongera wana Igunga wote bila kujali itikadi yao kichama. Mbunge aliyechaguliwa aanze kazi ya kuwatumikia wananchi na isiwe kama wabunge wengine ambao hugombea kwa sababu zao binafsi.
 
Kwa mujibu wa matokeo ya Nape Nnauye CCM imepata kura 26266 na CDM kura 22443, hii ikiwa ni tofauti ya kura 3823. Kwa wachambuzi makini wa siasa(wasio na ushabiki), ushindi huu si dalili njema kwa CCM, kwa sababu zifuatazo:
1. CCM imeporomoka kutoka kura 35674 hadi kura 26266 ikiwa na maana zaidi ya wapiga kura 9408 wameikataa CCM ndani ya miezi 11
(okt 2010-sept 2011)
2.Upinzani umepanda kutoka kura 11321 hadi zaidi ya kura 22443, ikiwa na maana kuwa imani kwa upinzani imeongezeka
3. CCM imeshindwa kuvunja rekodi yake yenyewe, kwa hiyo anayetakiwa kutembea kifua mbele si CCM bali CDM

Nasema hii ni dalili mbaya kwa CCM kwa kuchukulia mfano thabiti wa Uchaguzi mdogo wa jimbo la Biharamulo julai 2009. CCM walishinda kwa kura 17561 dhidi ya upinzani uliopata kura 16898(CDM 16700 na TLP 198), lakini ulipofanyika uchaguzi mkuu 2010, CDM waliibuka kidedea baada ya kulitwaa jimbo hilo.

Kama taarifa ya Nape ni sahihi, CCM wanaweza kufurahia kwa kuwa wameudhibiti ubunge wa Igunga, lakini wasifurahie kuwa wameshinda. Ni ishara nzuri sana kwa CDM na wapenda mageuzi kwa ujumla, hata Nape na makada wengine wa CCM wanajua hili.

CCM, TAA NYEKUNDU IMEWAWAKIA. FURAHINI KWA TAHADHARI
I STAND TO BE CORRECTED

Hata kama ccm imeshinda,mi bado ninawasiwasi kama kweli haki imetendeka katika kipindi chote cha uchaguz hadi uhesabuji wa kura. Mi bado ninawasiwasi kuwa uchakachuaji umetendeka hapo. Hiki chama cha baba rizy kinategemea kuiba kura. Katiba mpya ikikamilika,na tume huru iwekwe ili kudhibiti uchakachuaji.
 
Hata mimi namshangaa sana huyu mama maana leo ndoo kaongea point.

Huyu Mama Faiza Foxy leo kaongea point baada ya chama chake CUF kupigwa chini.
Chadema nawapongezeni sana manake igunga mmepata progress nzuri sana kutoka kura elfu 7 mpaka kura 22000 ambayo inamaana kuna ongezeko la watu 15,000 walioipenda chadema ndani ya miezi 11 kweli mnastaili sifa kubwa na inaonekana chama chenu kinazidi kukubalika kwa watu wengi,CUF ndio inaanza kua historia inaingia kaburidi,manake hata siku moja huwezi kuolewa na kuishi vizuri na mmeo halafu uanze kutangaza kwa watu kuwa mme wako mbaya mbele ya mme wako halafu hamuachani watu watajua ni sinema tu,hiyo ndio imeiangusha CUF.CUF wajue tena wao ni historia tena wameshakua kama TLP.Big up chadema mnakua vuizuri msife moyo.
 
Kwa mujibu wa matokeo ya Nape Nnauye CCM imepata kura 26266 na CDM kura 22443, hii ikiwa ni tofauti ya kura 3823. Kwa wachambuzi makini wa siasa(wasio na ushabiki), ushindi huu si dalili njema kwa CCM, kwa sababu zifuatazo:
1. CCM imeporomoka kutoka kura 35674 hadi kura 26266 ikiwa na maana zaidi ya wapiga kura 9408 wameikataa CCM ndani ya miezi 11
(okt 2010-sept 2011)
2.Upinzani umepanda kutoka kura 11321 hadi zaidi ya kura 22443, ikiwa na maana kuwa imani kwa upinzani imeongezeka
3. CCM imeshindwa kuvunja rekodi yake yenyewe, kwa hiyo anayetakiwa kutembea kifua mbele si CCM bali CDM

Nasema hii ni dalili mbaya kwa CCM kwa kuchukulia mfano thabiti wa Uchaguzi mdogo wa jimbo la Biharamulo julai 2009. CCM walishinda kwa kura 17561 dhidi ya upinzani uliopata kura 16898(CDM 16700 na TLP 198), lakini ulipofanyika uchaguzi mkuu 2010, CDM waliibuka kidedea baada ya kulitwaa jimbo hilo.

Kama taarifa ya Nape ni sahihi, CCM wanaweza kufurahia kwa kuwa wameudhibiti ubunge wa Igunga, lakini wasifurahie kuwa wameshinda. Ni ishara nzuri sana kwa CDM na wapenda mageuzi kwa ujumla, hata Nape na makada wengine wa CCM wanajua hili.

CCM, TAA NYEKUNDU IMEWAWAKIA. FURAHINI KWA TAHADHARI
I STAND TO BE CORRECTED

Katika maswala ya uzalishaji kuna kitu kinaitwa gharama kwa kipimo (Cost per unit), sasa tuseme kipimo hapa iwe kura na gharama iwe jumla ya pesa yote iliyotumiwa na vyama kupata kura hizo.

Naomba CCM pamoja na kushangilia ushindi na CDM kufurahia mwanzo mzuri mfanye mahesabu mtupe hicho kipimio tuone
1. CCM cost spent/CCM's Total votes earned = ......TZS/Vote
2. Chdema cost spent/CDM's Total votes earned = ......TZS/Vote
Atakaye pata uwiano wa chini ndiyo amefanya vizuri na ndo mwenye nafasi ya kulitwaa jimbo katika chaguzi zijazo.
 
Kwa yeyote anayejisifiia kwa ushindi wa CCM-Magamba huko Igunga ni ujinga,kwani katika nafsi zenu zinwasuta,mnajua ukweli ni nini?halafu ni aibu kujitokeza hadhani na kujionyesha jinsi gani mtu ulivyotaahira,ni kwa vipi utawala wa CCM huu na jinsi Nchi ilivyo mnaweza kutoka nje na kuzungumza juu ya ushindi huu.

Lakini hakika nawaambieni ukombozi wa watanzania utaletwa na wananchi kuiunga mkono CHADEMA,na chadema ndio wataongoza mapinduzi haya,kumng'oa adui wa maisha ya watanzania walio choka dhuluma na ufisadi wa CCM.

hata kama kuna baadhi ya wananchi wanawaunga mkono,kwa kule vijijini ni kukosa uelewa tu,kwani hata tunaposema ufisadi wengine hawaelewi kabisa, hata kama ukiwaeleza kuwa nchi inaendeshwa kwa kodi zao.

Bado najua wananchi wa sehemu mbali mbali wakiwamo wa Igunga hawaelewi, na ndio maana Bulaya alitumia mwanya huo kuwaeleza wana Igunga kwamba wakichagua upinzania hasa chadema TZ itakuwa kama Rwanda. Leo hii sehemu za watu wenye uelewa huwezi kuwaambia kitu kama hicho.

Angalizo:

Kwa hayo yaliyojitokeza Igunga kaeni mkao wa kuondoka.Iko siku tutajikomboa tu,andaani sherehe ya kujipongeza sawa lakini bado sina imani na ushindi wenu.
 
Kwa mujibu wa matokeo ya Nape Nnauye CCM imepata kura 26266 na CDM kura 22443, hii ikiwa ni tofauti ya kura 3823. Kwa wachambuzi makini wa siasa(wasio na ushabiki), ushindi huu si dalili njema kwa CCM, kwa sababu zifuatazo:
1. CCM imeporomoka kutoka kura 35674 hadi kura 26266 ikiwa na maana zaidi ya wapiga kura 9408 wameikataa CCM ndani ya miezi 11
(okt 2010-sept 2011)
2.Upinzani umepanda kutoka kura 11321 hadi zaidi ya kura 22443, ikiwa na maana kuwa imani kwa upinzani imeongezeka
3. CCM imeshindwa kuvunja rekodi yake yenyewe, kwa hiyo anayetakiwa kutembea kifua mbele si CCM bali CDM

Nasema hii ni dalili mbaya kwa CCM kwa kuchukulia mfano thabiti wa Uchaguzi mdogo wa jimbo la Biharamulo julai 2009. CCM walishinda kwa kura 17561 dhidi ya upinzani uliopata kura 16898(CDM 16700 na TLP 198), lakini ulipofanyika uchaguzi mkuu 2010, CDM waliibuka kidedea baada ya kulitwaa jimbo hilo.

Kama taarifa ya Nape ni sahihi, CCM wanaweza kufurahia kwa kuwa wameudhibiti ubunge wa Igunga, lakini wasifurahie kuwa wameshinda. Ni ishara nzuri sana kwa CDM na wapenda mageuzi kwa ujumla, hata Nape na makada wengine wa CCM wanajua hili.

CCM, TAA NYEKUNDU IMEWAWAKIA. FURAHINI KWA TAHADHARI
I STAND TO BE CORRECTED

Tuwekee na cost/votes (gharama ambazo chama husika kimetumia kupata kura kilichozipata) tutapata picha nani kafanya biashara kwa bei nzuri na hivyo kupata faida kubwa. If the production cost is very high your competitos will chase you out of business.
Tujue:
1. CCM total cost spent/CCM's total vote earned = .....TZS/Vote
2. Chadema total cost spent/Chadema's total votes earned = .....TZS/Vote

Mwenye uwiano wa chini ya mwenzie ndiye amefanya vizuri na ana matumaini ya kulichukuwa jimbo siku zijazo.
 
Kwa mujibu wa matokeo ya Nape Nnauye CCM imepata kura 26266 na CDM kura 22443, hii ikiwa ni tofauti ya kura 3823. Kwa wachambuzi makini wa siasa(wasio na ushabiki), ushindi huu si dalili njema kwa CCM, kwa sababu zifuatazo:
1. CCM imeporomoka kutoka kura 35674 hadi kura 26266 ikiwa na maana zaidi ya wapiga kura 9408 wameikataa CCM ndani ya miezi 11
(okt 2010-sept 2011)
2.Upinzani umepanda kutoka kura 11321 hadi zaidi ya kura 22443, ikiwa na maana kuwa imani kwa upinzani imeongezeka
3. CCM imeshindwa kuvunja rekodi yake yenyewe, kwa hiyo anayetakiwa kutembea kifua mbele si CCM bali CDM

Nasema hii ni dalili mbaya kwa CCM kwa kuchukulia mfano thabiti wa Uchaguzi mdogo wa jimbo la Biharamulo julai 2009. CCM walishinda kwa kura 17561 dhidi ya upinzani uliopata kura 16898(CDM 16700 na TLP 198), lakini ulipofanyika uchaguzi mkuu 2010, CDM waliibuka kidedea baada ya kulitwaa jimbo hilo.

Kama taarifa ya Nape ni sahihi, CCM wanaweza kufurahia kwa kuwa wameudhibiti ubunge wa Igunga, lakini wasifurahie kuwa wameshinda. Ni ishara nzuri sana kwa CDM na wapenda mageuzi kwa ujumla, hata Nape na makada wengine wa CCM wanajua hili.

CCM, TAA NYEKUNDU IMEWAWAKIA. FURAHINI KWA TAHADHARI
I STAND TO BE CORRECTED

What a philosophicaa way of thinking. Just the other day, you and like minded members were exuding confidence that CDM will carry the day. The statistics are not what other CDM members wanted. The campaign team has just not been good enough to convince the voters that they represent change they have been craving.
 
Umeongea vizuri lakini mshindi ni mshindi hata kwa kura moja tu still ameshinda, jaribuni tena baadae. Katika analysis zako ulisahau kuwa magwanda walikuwa hawakuweka mgombea kabla ya miezi 11.

Nnawapa pongezi sana magwanda kwa kujitahidi, na nnawapa pongezi sana CCM kwa ushindi. Wote watazame matokeo na wajifunze kwa hayo matokeo ili chaguzi zingine ziwe na changamoto zaidi.

Naamini kuwa Serikali yoyote hufanya vyema zaidi pale kwenye upinzani mzuri zaidi, kwani wakiteleza tu, upinzani unachukuwa madaraka.

Hongera wana Igunga wote bila kujali itikadi yao kichama. Mbunge aliyechaguliwa aanze kazi ya kuwatumikia wananchi na isiwe kama wabunge wengine ambao hugombea kwa sababu zao binafsi.

hongera pia na wewe Faiza, i wonder kumbe unaweza kuongea point , kwa mtazamo huu basi soon tutaikomboa nchi kutoka katika mikono ya wanyang'anyi, keep it up mama.
 
Huyu Mama Faiza Foxy leo kaongea point baada ya chama chake CUF kupigwa chini.
Chadema nawapongezeni sana manake igunga mmepata progress nzuri sana kutoka kura elfu 7 mpaka kura 22000 ambayo inamaana kuna ongezeko la watu 15,000 walioipenda chadema ndani ya miezi 11 kweli mnastaili sifa kubwa na inaonekana chama chenu kinazidi kukubalika kwa watu wengi,CUF ndio inaanza kua historia inaingia kaburidi,manake hata siku moja huwezi kuolewa na kuishi vizuri na mmeo halafu uanze kutangaza kwa watu kuwa mme wako mbaya mbele ya mme wako halafu hamuachani watu watajua ni sinema tu,hiyo ndio imeiangusha CUF.CUF wajue tena wao ni historia tena wameshakua kama TLP.Big up chadema mnakua vuizuri msife moyo.

Sijawahi kuwa CUF sitokuwa CUF wala chama kingine chochote zaidi ya CCM, najivunia kuwa nimekulia ubavuni mwa ofisi ya TANU, CCM inazaliwa naiona. CCM daima. Ntakapoacha kuwa mwanachama wa CCM ni siku CCM itapoaga dunia au mimi ntakapoaga dunia. CCM ni chama na kila chama kina mapungufu yake na mazuri yake na mwanachama wa chama ndio anaekijenga au kukibomoa, kuhama chama ni kukosa sifa ya kutatua matatizo. Ama ufukuzwe chama ama ufe ukiwa mwanachama lakini kukihama eti kwa sababu hujapata uongozi au hakina sera wakati wewe ni mwanachama unakuwa ni upunguani na ufinyu wa fikra za kutatua matatizo yanayokukabili. Na wengi wa namna hiyo huwa ni failures, hata huko waendako huwa ni nguvu za soda tu.

Humkimbii mume kwa kukunyima kiatu cha kokoko.
 
KAMA KWELI KAKANA KITU BASI HICHI KIJITOTO CHA MZEE NNAUYE HAFAI HATA KUSHIKA NAFASI YA UKATIBU KATA!!!!!!!!!!!

Ni Jana usiku tu ambapo kiongozi mmoja wa ngazi ya juu sana kwenye Chama Cha Mapinduzi alipoibuka na orodha ndefu ya takwimu alioita MATOKEO RASMI YA UCHAGUZI WA IGUNGA na kutumwagia hapa jamvini huku akitamba na maneno ya kejeli kwa watu aliowaita 'PEOPLE'S POWER sasa kwishni', leo hii akaikane kama vile anachezea akili watoto wadogo???????????

Kwa kweli inashangaza mno kusikia eti kakana ile THREAD alioanzisha na baadaye MOD wa zamu kuanza kuikimbiza hovyo kwenda kuificha uvunguni ambapo tayari tumeshaunyonya yote.

Ripoti ya Nape ilinisababishia usumbufu mkubwa, kunipunguzia sana imani kwa Tume ya uchaguzi kana kwamba ni chombo geresha tu hivyo hata chochote watakachokitangaza, mimi kama mpiga kura wa nchi hii, si imani nayo hata kidogo kwa kuwa afisa mkubwa sana ndani ya CCM alinifanya niamini vinginevyo.

Ninaamini wapo watu wengi sana wanaojikuta katika hali hii nilionayo hivi sasa kote nchini hivyo zoezi zima Igunga haina tena any legal credibility and democratic legitimacy pindi mshindani anapojigeuza refarii.

Ukigeugeu kwa kiongozi wa ngazi ya juu kiasi hicho cha Nape kwa Wana-CCM ambaye kauli yale yoyote ile, in publi or private, huchukuliwa kuwa ni OFFICIAL POSITION ya chombo anachokiwakilisha, ni jambo la hatari mno!!!

Kama kweli anadiriki kukana waka
THREAD yake nzima tulishaihifadhi mbali kabisa kutokana na hiyo BLANDER YA KISHERIA aliyoifanya basi huyu kijana wa Mzee Nnauye HAFAI hata kushika nafasi ya UKATIBU KATA - ovyo kabisa hamna kitu pale.

Nape na CCM kweli mnaleta 'mzaha za akina Rage na bunduki kuwarukia viunoni bila kutambua' katika masuala nyeti kama haya ya uchaguzi.

Kama haujui maana ya kosa la KIUFUNDI ulilolitenda basi nenda ukamuulize Mzee Mukama atakuelewesha pengine kwa kukulambisha kibao cha uso maana mpaka hapa
KUNA KILA DALILI uchaguzi wa Igunga kuingia DOSARI KUBWA hivyo kuhitaji tafsiri za hali ya juu kisheria.

NB: Na mpaka hapa ni vema ikaeleweka wazi kwamba KITU CHOCHOTE MATANGAZO YA MATOKEO YA UCHAGUZI kwa jina la Jimbo la Igunga KAMWE HAYAWEZI KUAMINIKA tena na mtu yeyote mwenye akili timamu na ufahamu wa sheria za uchaguzi.

Nape na CCM tayari mmeingiza taifa kwenye HASARA kubwa katika hili.
 
Hizo sababu ni za kitoto. Kama unayajuwa yote hayo kabla ya uchaguzi uliingia kwenye kinyang'anyiro kwanini, si ungesusa kama kawaida yako?

Na hao kina Mbowe na Zitto na Mdee na wengine wengi tu waliopo bungeni walichaguliwa kukiwa na tume ipi? Wacha.
Masikini wa Mungu sikufahamu kama ww ni conservative kiasi hiki. naomba uangalie na kupima ubora wa huduma katika competitive market(CCM&CDM) na monopolies(CCM) kwani kila kampuni litajitahidi kuonyesha uniqueness katika market. Ukitaka CCM iendelee kumonopolize hii siasa basi usitegemee maendeleo katika Taifa hili. Umeme is still a problem and many more we need a competitive government,yani viongozi hawatakiwi kurelax na kulala wanatakiwa kufikiri usiku na mchana ni jinsi gani watapunguza nguvu ya rivarlies kupitia maendeleo.
 
Ukombozi wa kweli utachelewa sana Tanzania watubado hawajijui wako wapi
 
Masikini wa Mungu sikufahamu kama ww ni conservative kiasi hiki. naomba uangalie na kupima ubora wa huduma katika competitive market(CCM&CDM) na monopolies(CCM) kwani kila kampuni litajitahidi kuonyesha uniqueness katika market. Ukitaka CCM iendelee kumonopolize hii siasa basi usitegemee maendeleo katika Taifa hili. Umeme is still a problem and many more we need a competitive government,yani viongozi hawatakiwi kurelax na kulala wanatakiwa kufikiri usiku na mchana ni jinsi gani watapunguza nguvu ya rivarlies kupitia maendeleo.

Si unaona unavyojichanganya.

Umeme ni problem ya nani? yako wewe unaeutumia. zaidi ya 80% ya Watanzania hawajui umeme ni nini.

Jee, umeshajiuliza waliotangulia kabla ya awamu hii walikuwa hawalijui hilo? kama walikuwa hawalijui basi wao ndio wakuwalaumu, walishindwa kuitoa hii nchi kwenye janga la umaskini na badala yake kuiingiza kwenye lindi la umaskini tusikuwa nao. Leo hii tunaona mikata ya umeme inavosainiwa, ulifikiri ikisainiwa leo basi kesho taa ziwake? Na wewe kama ni fikra zako ndio hizo basi hauna tofauti na Watanzania zaidi ya 80% kwa mia wasiojuwa umeme ni nini. Nakuuliza, umeanza kuuona umeme lini?

Na mwenye kujuwa faida ya umeme hangoji kuwekewa umeme na Serikali. Anaengoja ni yule asiyekuwa na faida na umeme na yeye huwa ndio wa kwanza kulalamika.

Nilipoona kuna matatizo ya umeme na ndio nnautegemea kwa shughuli zangu za kila siku nimewekeza kwenye solar power, nikawekeza kwenye generator za umeme na sikungoja kufanyiwa, sasa hivi nnafuwa umeme wangu na nnawasaidia mpaka jirani zangu, si bure, wanaulipia.
 
.........................
Kwa mujibu wa matokeo ya Nape Nnauye CCM imepata kura 26266 na CDM kura 22443, hii ikiwa ni tofauti ya kura 3823. Kwa wachambuzi makini wa siasa(wasio na ushabiki), ushindi huu si dalili njema kwa CCM, kwa sababu zifuatazo:
1. CCM imeporomoka kutoka kura 35674 hadi kura 26266 ikiwa na maana zaidi ya wapiga kura 9408 wameikataa CCM ndani ya miezi 11
(okt 2010-sept 2011)
2.Upinzani umepanda kutoka kura 11321 hadi zaidi ya kura 22443, ikiwa na maana kuwa imani kwa upinzani imeongezeka
3. CCM imeshindwa kuvunja rekodi yake yenyewe, kwa hiyo anayetakiwa kutembea kifua mbele si CCM bali CDM

Nasema hii ni dalili mbaya kwa CCM kwa kuchukulia mfano thabiti wa Uchaguzi mdogo wa jimbo la Biharamulo julai 2009. CCM walishinda kwa kura 17561 dhidi ya upinzani uliopata kura 16898(CDM 16700 na TLP 198), lakini ulipofanyika uchaguzi mkuu 2010, CDM waliibuka kidedea baada ya kulitwaa jimbo hilo.

Kama taarifa ya Nape ni sahihi, CCM wanaweza kufurahia kwa kuwa wameudhibiti ubunge wa Igunga, lakini wasifurahie kuwa wameshinda. Ni ishara nzuri sana kwa CDM na wapenda mageuzi kwa ujumla, hata Nape na makada wengine wa CCM wanajua hili.

CCM, TAA NYEKUNDU IMEWAWAKIA. FURAHINI KWA TAHADHARI
I STAND TO BE CORRECTED



Nakuunga mkono katika tathmini yako ya kitaalamu. Chambuzi za namna hii zimekuwa adimu sana humu kwenye jamiiforums. Tumekuwa tukiangalia vitu katika jicho la unazi la vyama na individuals badala ya issues. Ni kweli CCM ilihitaji sana kushinda jimbo hili ili kulinda heshima yake, kufufua matumaini ya wanachama wake ambayo yanafifia kila kukicha kuwa bado ni Chama hai. Kwa upande wake, CHADEMA ilihitaji kuongeza mileage zake Igunga, kwa CHADEMA uchaguzi wa Igunga ni political barometer nzuri ya kupima performance yake baada ya uchaguzi. Jawabu ni kuwa performance yake imekuwa ndio maana imevuna kura nyingi zaidi, nguvu yake ya ushawishi imelazimisha CCM kutumia heavyweight Kama Rais Mstaafu Mkapa na hata kulazimika kuiga matumizi ya helikopta na pia matumizi hata ya dola.

Ukiangalia tena kwa karibu, CHADEMA nguvu yao imeonekana mjini na CCM imebaki na nguvu yake vijijini. Matokeo haya yanaakisi matokeo ya uchaguzi Mkuu wa 2010. Lakini pia, yanatudhihirishia kuwa Rais Kikwete alishinda kwa haki katika uchaguzi Mkuu uliopita na hapakuwa na wizi wa kura kama Dr. Slaa anavyodai. Funzo hapa la haraka ni kuwa, CHADEMA kinaungwa mkono zaidi na wafanyakazi na wafanyabiashara(lower middle na upper middle) wakati CCM bado inayo Imani kubwa ya wakulima( peasants) ambao wana preference tofauti na middle class. Hivyo, agenda za CHADEMA bado hazijagusa hisia za wapiga kura wa vijijini, hali kadhalika, agenda za CCM zinazidi kupoteza mvuto mijini na kwa watu wa tabaka la Kati. vyama vote viwili vinapaswa kuchukua funzo Igunga na virudi mezani kupitia upya agenda zao.

Kwa kujumuisha, matokeo ya uchaguzi wa Igunga ni win-win. CCM wamerudisha jimbo lao na CHADEMA wameongeza mtaji wao.
 
Umeongea vizuri lakini mshindi ni mshindi hata kwa kura moja tu still ameshinda, jaribuni tena baadae. Katika analysis zako ulisahau kuwa magwanda walikuwa hawakuweka mgombea kabla ya miezi 11.

Nnawapa pongezi sana magwanda kwa kujitahidi, na nnawapa pongezi sana CCM kwa ushindi. Wote watazame matokeo na wajifunze kwa hayo matokeo ili chaguzi zingine ziwe na changamoto zaidi.

Naamini kuwa Serikali yoyote hufanya vyema zaidi pale kwenye upinzani mzuri zaidi, kwani wakiteleza tu, upinzani unachukuwa madaraka.

Hongera wana Igunga wote bila kujali itikadi yao kichama. Mbunge aliyechaguliwa aanze kazi ya kuwatumikia wananchi na isiwe kama wabunge wengine ambao hugombea kwa sababu zao binafsi.
kumbe FF ana akili timumu???
nlikuwa nikidhani ni kichaa flani.
Big up FF
 
Back
Top Bottom